Mwanaume wa Rombo .......................

Warombo mwaka huu wanadhalilishwa sana
 
Ukistaajabu ya Musa utayaona ya Filauni,
Hakika nimekaa nikatafari namna hawa ndorobo wa rombo wanavyokuwa baada ya kunywa mbege.
Nb: ni utani tu..... kwa ndugu zangu kina "yeruwiiii".
dereva amevaa kofia kabisa hataki kutapikiwa.
 
Haloo mod wangu Active, thread za utani kwa warombo zinafurika humu. Hebu merge thread hii na HII HAPA maana ni identical!
 
Last edited by a moderator:
Hali ni mbaya huko kwa wenzetu Rombo!
 

Attachments

  • 1432790765349.jpg
    18.3 KB · Views: 461
Awamu hii Rombo hakuna rangi wataacha kuiona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…