Mwanaume wa kweli

Mwanaume wa kweli

Chibike

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2024
Posts
4,897
Reaction score
7,525
Mwanaume wa kweli, amka nenda kapambane kwa ajili ya familia yako, wale, wanywe na wavae, then hawa ambao uanaume umekuwa mgumu kwao achana nao wakae kwenye pages za udaku na wanaharakati kutukana asubuhi mpaka jioni.

Jukumu la maisha yako ni jukumu lako..sio la mange, maria, hilda ama Larry madowo, msigwa na wengineo..
 
Mwanaume wa kweli anapambania taifa siyo familia. Mwanaume wa kupambania taifa ni chawa mithili ya mwijaku.

Mwanaume wa kweli hawezi kuanzisha uzi kusontana na akina mama.

Mwanaume wa kweli hawezi kuhoji uanaume wa wanaume wengine…
 
Mwanaume wa kweli anapambania taifa siyo familia. Mwanaume wa kupambania taifa ni chawa mithili ya mwijaku.

Mwanaume wa kweli hawezi kuanzisha uzi kusontana na akina mama.

Mwanaume wa kweli hawezi kuhoji uanaume wa wanaume wengine…
Nenda kaandamane tuache sisi ambao sio wanaume tupambanie familia zetu ..hakikisha unaenda ikulu pale ukarushe na mawe uweke Kambi kabisa ulale pale
 
Wewe mwanaume uliendamana kwa kupelekwa mputa mputa na mange na maria umeishia wapi? Au mmeishia wapi
Bado unakua ukishamaliza shule tutakufunza critical analysis kwa ss hv kaoshe vyombo ujustify mlo kwa shemeji yako
 
Back
Top Bottom