englibertm
JF-Expert Member
- May 1, 2009
- 9,252
- 6,209
<button class="modal-btn modal-close js-close" type="button">Close </button>
Sasa bila kula atafanyaje hiyo shughuli...?Mwanaume hasifiwi kula!!Mwanaume "shughuli"
Hawa sasa ndio wanatakiwa.........
Wanatakiwa kwa lipi? Nipe usage yao.
Hawa sasa ndio wanatakiwa.........
Umemkubali mpaka umemtamani eeh!!
Huyu kama ni mpangaji kwenye nyumba yangu natafuta kisingizio cha kumfukuza.Ni majanga kwenye kile chumba kidogo cha uani.<button class="modal-btn modal-close js-close" type="button">Close </button>![]()
Mkuu una maana chumba kidogo cha uani huyu mkuu atakijaza kwa siku moja?Huyu kama ni mpangaji kwenye nyumba yangu natafuta kisingizio cha kumfukuza.Ni majanga kwenye kile chumba kidogo cha uani.
Kwa ulinzi na usalama wa familia........😛