rungu nyama
Member
- Apr 15, 2020
- 17
- 14
Comments ziende na picha basi jamani tusafishe macho!
Umejuaje mam kubwa yaanComments ziende na picha basi jamani tusafishe macho!
Hakuna taharuki bana, hebu tubariki na pichaHatutaki kuleta taharuki kwenye mahusano ya watu
Kazia basi jamani
Hakuna taharuki bana, hebu tubariki na picha
😂 😂 😂
Kabla sijasema chochote, naomba kwanza ibariki siku yangu na zile ndevu matata PM please.!!
Uchebe a.k.a udevu. alimaarufu unyoya bin brushMbona kama Volume ipo chini sana mkuu.. Ongeza volume... Rungu Nyamaa hela na ni niniiii???
Muhimu sana Uchebe, ikishindikana hata za bandia we weka tuu
😂 😂 😂
Kabla sijasema chochote, naomba kwanza ibariki siku yangu na zile ndevu matata PM please.!!
Ruhusa kuweka za bandia.. mbona wanawake wengine wanazaliwa bila tak0 ila hawakubali wanaweka mpaka ya bandia. So kwa mwanaume sio ishu sanaWavulana wasio na ndevu kama Piere Liquid watajisikia vibaya.
Mamba ya picha tayar
Nimeshajibu hapo juu.. ptia uziMkuu jina lako linamaanisha nn... #Sifugindevukwasababuninakibamia 🙈