Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 40,023
- 61,917
Dunia ya sasa siyo ya kumuamini mtuAsante kwa kutusanua mapema..
Kwa ajili ya nini?Piga tizi la pushapu hata kwa wiki mara moja utanishukuru
Maisha ni vita kaka ukiwa bar, gest, lodge kwa mchepuko kote huko ni vitaKwa ajili ya nini?
Ni kweli, mwanamke anatakiwa aje kwa mwanaume, au mfikie sehemu ambapo mwanaume ndio amelipia.Yaani mwanaume na kende zako unaenda kudinya mwanamke kwake wewe kuliwa ni haki yako.
Mwanamke mwite aje kwako udinye.
Acheni kupenda dezo mtapuliwa veri suni.
NI muhimu mwanaume kujifunzaPole sana,geto la mwanamke sio la kuingia hata kama unachangia kodi.
Pole mkuu nakushaur usiendelee hiyo ilikua ajar kaznKuna andiko nimesoma kwenye ukurasa mmoja mtandaoni, ukielezea changamoto inayowakuta wanaume wanaopenda mahusiano ya mteremko.
Atakuja mdada, na atakuwekea mazingira ya kukutaka kimahusiano, na huyo dada atakuwa anakuhudumia ili mradi uweze kunasa kwenye mtego.
Baada ya siku kadhaa kupita, na wewe kumuamini, atakualika uende nyumbani kwake.
Na ukishafika huko kwake na kuingia ndani, atafunga mlango na kutoa funguo, kisha watajitokeza wanaume wa kazi.
Kinachofuata hapo ni kukuharibu na kukurekodi, na wakishamaliza haja yao, wanaweza kukupa nauli au kiasi fulani cha pesa na kuondoka.
Kinachofuata kwako ni msongo wa mawazo, na kuendeleza walicho kuanzishia.
Mwanaume, kuwa makini.
Kwahiyo babu huji kunitembeleaUnaingiaje kwenye nyumba ya mwanamke wakati hata anayelipa Kodi humjui
Ukiwa unayejitambua, huwezi kuthubutu kukubali kwenda huko
Samsoni na manguvu yake yote, yakaishia kwa delilah; hawa viumbe ishi nao kwa akiliKirahisi tuu hvy? Haya.
Pole ya nini tenaPole mkuu nakushaur usiendelee hiyo ilikua ajar kazn
Uko sahihiMaisha ni vita kaka ukiwa bar, gest, lodge kwa mchepuko kote huko ni vita
Naanzaje kumtembelea mjukuu 🤭Kwahiyo babu huji kunitembelea
Kwakulawitiwa kiboyaPole ya nini tena