G70
JF-Expert Member
- Jul 13, 2022
- 1,109
- 2,252
Mwanaume lazima afanye kazi kwa ajili ya mwanamke wake. Mwanamume ambaye hayuko tayari kutoa hatakiwi kumiliki mwanamke. Kuna huu ujinga unaojitokeza siku hizi kwa wanaume kusubiri wanawake watoe.
Hii ni kinyume cha maadili ya uanaume, mwanaume aliumbwa kutoa kila kitu kwa mwanamke wake. Mahaba yote, hela zote pamoja na mbegu zake za kiume lazima atoe kwa mwanamke wake.
Hii ni kinyume cha maadili ya uanaume, mwanaume aliumbwa kutoa kila kitu kwa mwanamke wake. Mahaba yote, hela zote pamoja na mbegu zake za kiume lazima atoe kwa mwanamke wake.