MfalmewaKiha
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 1,191
- 1,244
Kuchangia hoja km hii ni Umama



Mwanaume ni kuvuka kwa kuogelea


mwanaume anatembea juu ya maji kama Yesu



Mwanaume kutenga maji kama Musa na kupita katikati



Mwanaume kumezwa na samaki kama Yona alafu ukatemwa upande wa pili

Mwanaume wa kweli atengeneze Safina kama Nuhu



Mwanaume unatakiwa ufe kishujaa kama Askari wa Farao



Mwanaume ufufuke kama Yesu



Mwanaune kuwa zombie

Kuchangia hoja km hii ni Umama
Kuanzisha thread za kimama
Huu unaoendelea hapa ni umama..
Hata kumjibu mwenzio huo ni UMAMA mwanaume wa kwel anamfata Mod na kumwambia afute uzi, ampige ban jamaaa!Kuanzisha thread kama hii ni umama tena ulokithiri
Kufumba macho ni umama, mwanaume unatoboa kabisa macho uwe kipofuMwanaume kununua tochi ni umama wa kiwango cha SGR. Inatakiwa utembee kwenye giza totoro ukiwa umefumba macho ujigonge ugoko ukomae..
Inaonekana wamama ni wabaya sanae maana umama ni umegeuza kua tusi kama yalivyo matusi mengine unatumia heshima ya mama kwa mambo ya kipuuzi bas mtoa mada una tabia ya kisenge ..sijatukana bana badala ya kuandika umama nikaandika ivyo maana hayomaneno yote yanatumika kumuonya mtu
*****Mwanaume kupaka superblack huo ni umama, Mwanaume ni kupaka Oil chafu

Nawe pia mmama kwani umelitajamwanaume Kutaja neno umama kwa kila jambo nao ni UMAMA
Mwanaume kutoboa macho ili uwe kipofu huo ni Umama,mwanaume unakata kichwa kabisa unatembea na kiwiliwili tu.Kufumba macho ni umama, mwanaume unatoboa kabisa macho uwe kipofu


Mwanaume kutoboa macho ili uwe kipofu huo ni Umama,mwanaume unakata kichwa kabisa unatembea na kiwiliwili tu.







Inaonekana wamama ni wabaya sanae maana umama ni umegeuza kua tusi kama yalivyo matusi mengine unatumia heshima ya mama kwa mambo ya kipuuzi bas mtoa mada una tabia ya kisenge ..sijatukana bana badala ya kuandika umama nikaandika ivyo maana hayomaneno yote yanatumika kumuonya mtu





