Mwanaume ni..

Mwanaume ni..

~~~MWANAUME~~~HUO~~~NI~~~UMAMA~~~

Emmanuel----->>Mwanaume kuvuka na feri ni umama fala wewe
Mwanaume ni kuvuka kwa kuogelea

Manyori---->>Kuogelea pia umama mwanaume anatembea juu ya maji kama Yesu

Godwin---->>Kutembea juu ya maji nayo ni umama
Mwanaume kutenga maji kama Musa na kupita katikati

Romeo---->>Nakutenganisha maji nao eti ni umama
Mwanaume kumezwa na samaki kama Yona alafu ukatemwa upande wa pili

Alex---->>Kumezwa nako ni umama
Mwanaume wa kweli atengeneze Safina kama Nuhu

Starllone ---->>Kutengeneza safina nako umama
Mwanaume unatakiwa ufe kishujaa kama Askari wa Farao

Justine ---->>Kukubali kufa huo ni ushangazi
Mwanaume ufufuke kama Yesu

Mganga---->>Kufufuka kama Yesu huo ni umama + ushangazi
Mwanaune kuwa zombie
 
Mwanaume kula Milo mitatu kwa siku ni ushangazi mwanaume inabidi ule Mara moja kwa wiki
 
Inaonekana wamama ni wabaya sanae maana umama ni umegeuza kua tusi kama yalivyo matusi mengine unatumia heshima ya mama kwa mambo ya kipuuzi bas mtoa mada una tabia ya kisenge ..sijatukana bana badala ya kuandika umama nikaandika ivyo maana hayomaneno yote yanatumika kumuonya mtu
 
Inaonekana wamama ni wabaya sanae maana umama ni umegeuza kua tusi kama yalivyo matusi mengine unatumia heshima ya mama kwa mambo ya kipuuzi bas mtoa mada una tabia ya kisenge ..sijatukana bana badala ya kuandika umama nikaandika ivyo maana hayomaneno yote yanatumika kumuonya mtu

Mwanaume kupanic kwa mambo ya kipuuzi na kutukana ni UMAMA pia, mwanaume ni kurusha ngumi
 
Inaonekana wamama ni wabaya sanae maana umama ni umegeuza kua tusi kama yalivyo matusi mengine unatumia heshima ya mama kwa mambo ya kipuuzi bas mtoa mada una tabia ya kisenge ..sijatukana bana badala ya kuandika umama nikaandika ivyo maana hayomaneno yote yanatumika kumuonya mtu

its for fun
acha kuchukulia serious kila kitu...utapata tabu sana,

mwanaume kukasirika kasirika kwa vitu visivyokuwa na kichwa wala miguu nao ni umama!

no offenc chief
 
Back
Top Bottom