Hivi tunapozungumzia mwanamke malaya ni yule anayetembea na wanaume wengi kwa pamoja bila mpangilio yaani kawapanga foleni,, au yule anayekuwa na wapenzi wengi lakini anakuwa na huyu kwa miezi anamchoka anakuwa na mwingine tena na tena na huyu wa pili naye ni malaya? unajua nimemwazia jenipher Lopez, anabadili sana na bado wanaume wako proud kuwa naye, au umalaya wa mtu unategemea na stutus yake?
Nikirudi kwa The boss, mi nadhani ukiamua kumuoa mwanamke oa unayempenda kwa dhati haijalishi kama alikuwa malaya au vipi, maadam kakubali kutulia na wewe kwa nia moja ya kujenga famili, kwangu mimi kidume kati ya wale wawili ni yule aliyeoa mwanamke anaempenda ila alikuwa malaya sababu yaliyopita si ndwele, tushaona watu wanaolewa mabikira badae wanakuja kuwa malaya wa kutupwa, bora huyo aliyefanya kabla ya pingu
Hapo Fidel80 Barabara kabisa....lol
Naelewa saaana Mambo ya a dedicated house wife.... NIMEFURAHI Mpenzi kukuona (thou avatar ilinichanginyi kidogo...hahaha)
mimi nilisema 'aneonekana malaya' kwa jamii..
kwa hiyo jinsi jamii inavyoona na sio mimi kusema mwanamke wa hivi ni malaya au sio malaya..
kwa hiyo yes,j lo kwa jamii zingine ni 'malaya ' pia....but ..
hapa nazungumzia jamii yetu inavyom define 'malaya'...
Yule mdogo nae anakua fresh?
See love...see? we are almost thinking the same......lol
Karibu tena FP
umeona sasa????ndio maana hii thread ilikuja kwa kuuliza swali...
wewe unaona hivyo,but kwenye jamii nyingine ukicheza faulo kupata mwanamke 'unadharaulika'
jamii zingine all is fair in the name of love....umeona hapo?????
Hiyo ni kweli. Lakini baada ya mihangaiko yote ya siku, jioni umefunga milango uko ndani na mtu usiyempenda. Maisha gani hayaaaaaaaaaaa?but wengi wanachagua heshima kuliko kipenda roho....
Kuhusu kuhama.... Mtambuzi amini usiamini whether you like it or not mara nyingi day to day activities wewe hufanyaga hua influenced na jamii ilokuzunguka... La sivo basi watu tungekua na nguo pair mbili to... mana si ilimradi ujisitili?? Kama kweli umependa huyo mwanamke kweli kuhama muhimu... la sivo ita affect the whole family... maneno husimuliwa na kukua from people to people na generation to generation hasa hizi za kashfa za kifamilia.... Unataka watoto wawe pre-judged kabla hawajapewa a chance to live their own life?? Unataka mkeo kila siku akumbushiwe kua alikua malaya makosa daima kutofutwa?? Ni vigumu... lakini like i said we don't live in isolation.
Yaani kwa jamii yetu ya Kiafrika, unadhani tutakuwa position ipi mkuu apo? LOL.....(rational au normative apo?)
hata sii waafrika tumegawanyika....
jiulize wapemba na wakurya au wachaga na wazaramo
au wamasai na wadigo...wanafanana?
Kuna mambo 'ya msingi' wanafanana, kama views zao kuhusu mwanamke malaya na mwanamke malaya, I believe
Sweetie una hakika hapo unamsemea Fidel80?? (maana reading between the lines.... I am short of words..)
hahahah love...you know I am missing no nothing.....you know Fidel80? Thats his GAME...lol
hata sii waafrika tumegawanyika....
jiulize wapemba na wakurya au wachaga na wazaramo
au wamasai na wadigo...wanafanana?