Mwanaume ni sawa kuwa na wanawake wengi kama uwezo unaruhusu

Mwanaume ni sawa kuwa na wanawake wengi kama uwezo unaruhusu

Moto wa volcano

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2018
Posts
1,617
Reaction score
3,718
Tafiti za kisayansi zinasema Mwanaume mmoja anaweza kuzalisha wanawake 300 ndani ya mwaka mmoja . Wanaume wamepewa uwezo wa kumiliki wanawake .

Kwa mwanaume ni halali kuwa na wanawake wengi ila mwanamke ameumbwa amilikiwe na mwanaume mmoja
 
Sijasoma mada ila nimesikitika sana
Kwani wame mfanyaje Jamaa?
FB_IMG_17427221310009926.jpg
 
Ukiwa nao wewe inatosha
Tusipangiane maisha
 
Tafiti za kisayansi zinasema Mwanaume mmoja anaweza kuzalisha wanawake 300 ndani ya mwaka mmoja . Wanaume wamepewa uwezo wa kumiliki wanawake . Mwanaume ni halali kuwa na wanawake wengi ila mwanamke ameumbwa amilikiwe na mwanaume mmoja

financial services
Mithali 29:18 Pasipo maono, watu huacha kujizuia; Bali ana heri mtu yule aishikaye sheria.
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Mwanaume lazima uwe na warembo watatu. Chini ya hapo huitendei haki mgegedo wako
 
Sijasoma mada ila nimesikitika sana
Maisha yetu yanaongozwa kiroho sana, hatuwezi kudate kila mwanamke kama wanyama wanaotafuta uzao, lust has killed a lot of men destinies, better find some and cherish her forever.
 
Back
Top Bottom