Mwanaume ni mwanaume tu!

Mwanaume ni mwanaume tu!

Mwanaume hata akipewa kundi la wanawake 90 achague mmoja!! Hata akichagua mzuri kupita wote bado roho itamuuma kuwaacha wale 89 waliobaki!!

Mungu atubariki sana kwa upendo wa aina hii.
Acha dharau basi kwani ulijua mwanaume ni mwanamke
Tuko tofauti kaka. Mwanamke anabikra na hiyo ni kwaajili ya mumewe tofauti na sie sasa ukiamua kujiringanisha ndo unashangaaa na mwanamke eti anawanume sita alafu anapata wa kumuoa khaaaaaaa
 
Kumuacha mwanamke kwa sababu umechagua mmoja ni kuwadhalilisha sana. Ndio maana bado roho inauma kuwaacha 89
 
Acha dharau basi kwani ulijua mwanaume ni mwanamke
Tuko tofauti kaka. Mwanamke anabikra na hiyo ni kwaajili ya mumewe tofauti na sie sasa ukiamua kujiringanisha ndo unashangaaa na mwanamke eti anawanume sita alafu anapata wa kumuoa khaaaaaaa
Wanawake sio watu wa kuwachezea hahhaah...
Mnapangwa 80 alafu hamjuani...
 
wanawake tuliumbiwa sisi wanaume.....so ni wetu wote.......
 
Na kam tukipewa wote 89 mmoja akapotea lazima huyo mmoja atafutwe mpaka apatikane akishapatikana ni sherehe kubwa kama ya mwana mpotevu
 
Na kam tukipewa wote 89 mmoja akapotea lazima huyo mmoja atafutwe mpaka apatikane akishapatikana ni sherehe kubwa kama ya mwana mpotevu
Hahah ukiskilia wimbo wa Nandy ft Mr Blue- Nagusa gusa Remix,
Pale alipochana blue ndo uhalisia wa sisi wanaume
 
Back
Top Bottom