Mr Big JF-Expert Member Joined Sep 16, 2019 Posts 479 Reaction score 926 Mar 12, 2020 #21 Nilishangaa sana Mchungaji alipoomba wanawake wote wa kanisa wapite mbele siku ya wanawake , Wanaume waliobaki kwenye viti ni kama 15 pekee... Tuliobak wanaume kwenye viti tukaanza kushangaana...
Nilishangaa sana Mchungaji alipoomba wanawake wote wa kanisa wapite mbele siku ya wanawake , Wanaume waliobaki kwenye viti ni kama 15 pekee... Tuliobak wanaume kwenye viti tukaanza kushangaana...