Mnyiramba
JF-Expert Member
- Jun 19, 2022
- 1,193
- 3,269
Kila kukicha kumekuwa na matukio tofauti tofauti wengine wanauana wanatuongezea mzigo wa tozo
na wengine wanapeana vilema vya maisha kisa tu wivu wa mapenzi!
Mwanaume kamili inabidi ujiandae kisaikologia kuishi na Mwanamke ile usije ukaleta maafa baadae!inabidi ujue haya.
1:Kosa namba moja katika maisha usije ukawekeza kila kitu kwenye maisha ya Mwanamke either muda ama pesa jifunze kuwa na kiasi!
2:Usije ukajitoa ufahamu eti kwamba ni wako peke yako hiyo kitu hakuna hata kama umemkuta bikra
3:Wekeza sana muda wako kutafuta pesa na kufanya vitu unavyopenda tofauti kabisa na kuweka furaha yako kwa Mwanamke!
4:Weka akili kwamba ipo siku yeyote atakuacha aende zake kama alivyowaacha wengine na kuja kwako !
5:Mwambie Mwanamke ukweli kwa asilimia 25 kati ya 100 ambao hautakuletea madhara baadae!
Kwa leo ni hayo tu wengine watajazia nyama!
na wengine wanapeana vilema vya maisha kisa tu wivu wa mapenzi!Mwanaume kamili inabidi ujiandae kisaikologia kuishi na Mwanamke ile usije ukaleta maafa baadae!inabidi ujue haya.
1:Kosa namba moja katika maisha usije ukawekeza kila kitu kwenye maisha ya Mwanamke either muda ama pesa jifunze kuwa na kiasi!
2:Usije ukajitoa ufahamu eti kwamba ni wako peke yako hiyo kitu hakuna hata kama umemkuta bikra
3:Wekeza sana muda wako kutafuta pesa na kufanya vitu unavyopenda tofauti kabisa na kuweka furaha yako kwa Mwanamke!
4:Weka akili kwamba ipo siku yeyote atakuacha aende zake kama alivyowaacha wengine na kuja kwako !
5:Mwambie Mwanamke ukweli kwa asilimia 25 kati ya 100 ambao hautakuletea madhara baadae!
Kwa leo ni hayo tu wengine watajazia nyama!