Mwanaume mwenye thamani

Mwanaume mwenye thamani

Sio kweli kabisaa.... Mwanamke anamkumbuka Mwanaume aliyewahi kumkuna vizuri so sio lazima awe wa kwanza.
 
Mi hapa sitachangia maana nina uzoefu mkubwa sana na mambo haya, ila nshaokoka na sipendi kujiingiza katika mijadala hii.
 
Kabla sijawasilisha mada hii kwenu nilifanya utafiti wakina, niliwahoji akina dada na wamama na wabibi, asilimia 98 walisema ndio.

idadi yao tafadhali, pia umri na shughuli wazifanyazo hao wamama na wadada....!
 
labda kina romeo na juliet.....
lakini wengine wakishaanza maisha mapya asilimia kubwa hawana muda wa kuwaza alikotoka
 
Impact unayomwachia mwanamke ndio mpango mzima.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom