IoT
JF-Expert Member
- Apr 21, 2014
- 1,057
- 1,400
Dah! Wewe mzuri, nimetazama avatar hiyo.Doh!
Dah! Wewe mzuri, nimetazama avatar hiyo.Doh!
Kweli kabisa, bilashaka huyu jamaa anaipigia kampeni kijanja.Nadhani ttcl ili tuunge mkono juhudi.
#maendeleoHayanaChama.
Kwa posti hii tu unaonesha huna sifa za uanumeEwe mwanaume mwenzangu , unawezaje kuwa na line ya halotel?
Hivi uko timamu kweli?Ni aibu kubwa sana mwanaume kumiliki line ya halotel.
Namba tu zenyewe hazina mvuto . Huduma zao ni mbovu kuliko. Huduma zao nyingi ni promotions kwa watoto wadogo , wanachuo , wanafunzi. Speed ya internet ni poorest
Ewe mwanaume mwenzangu , unawezaje kuwa na line ya halotel?
Kwa hiyo zimilikiwe na wanawake?Ni aibu kubwa sana mwanaume kumiliki line ya halotel.
Namba tu zenyewe hazina mvuto . Huduma zao ni mbovu kuliko. Huduma zao nyingi ni promotions kwa watoto wadogo , wanachuo , wanafunzi. Speed ya internet ni poorest
Ewe mwanaume mwenzangu , unawezaje kuwa na line ya halotel?
aisee!!! una maana gani?Kwahiyo unataka wamiliki line za tiGO?
Atakuwa kwenye kampeni ya kuwarudisha watu kwenye mitandao inayofichua privacy yaoHakuna kama halotel..
Potezeni muda na hiyo mitandao ya kijinga.
Ni aibu kubwa sana mwanaume kumiliki line ya halotel.
Namba tu zenyewe hazina mvuto . Huduma zao ni mbovu kuliko. Huduma zao nyingi ni promotions kwa watoto wadogo , wanachuo , wanafunzi. Speed ya internet ni poorest
Ewe mwanaume mwenzangu , unawezaje kuwa na line ya halotel?