Mwanaume mashine au pesa?

Hahaha nyie subiri muwe busy kutafuta pesa..wake zenu wanakuwa busy kujifariji na upweke kwa ubusy wenu...huwezi mridhisha binadamu hasa mwanamke...kikubwa tafuta mwanamke ambaye ameumbwa kuridhika tu hana makuu,halafu muheshimu mpende mengine utazidishiwa usijitese kuwamini pesa ndo mapenzi au itakupa heshima mbele ya mwanamke

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MKUU UNATUMIA KINYWAJI GANI?
 
Mtu hujui utakula nini,utawaza kutiana kweli??..waliosema pesa ni kila kitu hawakukosea..ila hii haiapply kwa wenye matatizo ya kiafya ambayo kuyatibu ni kazi kubwa au hayatibiki kirahisi..

Sasa wewe usiwe na hela,then tafuta nguvu zako za kiume ili uwachape wake za watu..




Sent using Jamii Forums mobile app
 

Hahahahaa ila kumbuka mke wa mtu sumu ila tatizo la hizi hela sasa ukiwa na hela na nguvu nazo zinakimbia unakuwa mchovu kwenye mambo hayo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahaa ila kumbuka mke wa mtu sumu ila tatizo la hizi hela sasa ukiwa na hela na nguvu nazo zinakimbia unakuwa mchovu kwenye mambo hayo

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli mkuu..ukiwa huna hela ya kufanya mahitaji yako ya kawaida nguvu hazipo hapo..watu wanasemaga tu dar kuwa chips ndo tatizo,ila pia stress za maisha ndo tatizo kubwa..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…