Mwanaume kuzaa nje ya ndoa

Mwanaume kuzaa nje ya ndoa

Mzee wa hat-trick

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2016
Posts
1,730
Reaction score
2,390
Habari zenu wakuu,

Naombeni kuuliza, hasa wanawake wanaweza kuwa katika position nzuri sana. Inapotokea mume wako umemkuta na mtoto, ukakubali akakuoa na mkafanikiwa katika ndoa kupata nae mtoto mmoja. Lakini ikatokea huyo mume wako akazaa na binti mwingine tena nje ya ndoa.
1. Utaweza kuendelea na relationship hiyo?
2. Kama utaendelea, je unaweza kuwa na kiwango kile kile cha mapenzi kama mwanzo?
3. Je, unaweza ukatamani kuvunja ndoa ila kwa sababu wewe ni mwanamke ukashindwa? Au utaendelea kwa sababu ya neno "uvumilivu"

Nawasilisha.
 
Kuendelea inategemea na upendo wako kwake? Na pia je anakudharau? Kama hapana unaweza komaa na ndoa yako as long as unampenda na mnaelewana ila kama hivyo havipo basi we jiondokee aingie ndani huyo mama mtoto .. je dini yako inaruhusu , ndoa za mitala kama ndiyo awe mke mdogo.. mama yangu alikomaa na baba lakini kubwa ili kuwa upendo na mpaka sasa hivi wapo mtoto anasomeshwa aliyezalishwa hana mbele wala nyuma..
 
Tatizo ndoa zetu hizi za kikristu hazivunjiki hadi kifo. . . Ningevumilia ila upendo na uaminifu kwa mume wangu ungepungua

Ila kama ni uislam talaka fasta
 
Mhhhhhh sina experience na hii situation....kwa niliowahi shuhudia walipitia hii hali waliishia kuvunja ndoa zaoo
Nikirudi kukupa ushauri..angalia tuu moyo wako unasemajee jipe muda utafakari kwa umakini pima pande zote mbili za maamuzi yakoo,mshirikishe sana Mungu akupe hekima na busara kwenye maamuzi yako
 
Habari zenu wakuu,

Naombeni kuuliza, hasa wanawake wanaweza kuwa katika position nzuri sana. Inapotokea mume wako umemkuta na mtoto, ukakubali akakuoa na mkafanikiwa katika ndoa kupata nae mtoto mmoja. Lakini ikatokea huyo mume wako akazaa na binti mwingine tena nje ya ndoa.
1. Utaweza kuendelea na relationship hiyo?
2. Kama utaendelea, je unaweza kuwa na kiwango kile kile cha mapenzi kama mwanzo?
3. Je, unaweza ukatamani kuvunja ndoa ila kwa sababu wewe ni mwanamke ukashindwa? Au utaendelea kwa sababu ya neno "uvumilivu"

Nawasilisha.

wee una wasiwasi gani bwana...ulishamzalisha hana jipya na wala hana soko tena. so hamna shida wewe jigegedee tuu
 
Kuendelea inategemea na upendo wako kwake? Na pia je anakudharau? Kama hapana unaweza komaa na ndoa yako as long as unampenda na mnaelewana ila kama hivyo havipo basi we jiondokee aingie ndani huyo mama mtoto .. je dini yako inaruhusu , ndoa za mitala kama ndiyo awe mke mdogo.. mama yangu alikomaa na baba lakini kubwa ili kuwa upendo na mpaka sasa hivi wapo mtoto anasomeshwa aliyezalishwa hana mbele wala nyuma..
Kuna muda mwanamke kwa udhaifu wetu kma binadamu, ni ngumu sn kuvumilia. Muda wowote atakapohitajika kuwasiliana na mtoto au kuambiwa shida za mtoto, mwanamke ukijua atakuwa ni kama anatonesha kidonda upya kbs. Kuna muda inawezekana baba akatakiwa kutimiza majukumu fulani nyumban, mathalani fedha au chochote, na atakaposhindwa kutimiza, wazo litakalokuijia kichwani ni kwmb amehudumia sehemu nyingine, hta kma kweli hana. Kiukweli ni rahisi sana kufanya revenge na jamaa akakosa nguvu ya kureact kwani yy ndo mkosefu namba moja
 
Kuna muda mwanamke kwa udhaifu wetu kma binadamu, ni ngumu sn kuvumilia. Muda wowote atakapohitajika kuwasiliana na mtoto au kuambiwa shida za mtoto, mwanamke ukijua atakuwa ni kama anatonesha kidonda upya kbs. Kuna muda inawezekana baba akatakiwa kutimiza majukumu fulani nyumban, mathalani fedha au chochote, na atakaposhindwa kutimiza, wazo litakalokuijia kichwani ni kwmb amehudumia sehemu nyingine, hta kma kweli hana. Kiukweli ni rahisi sana kufanya revenge na jamaa akakosa nguvu ya kureact kwani yy ndo mkosefu namba moja
Ni kweli ila hapo lazima mwanaume ajutie kosa na akuambie kila analolifanya kule .. ila me kwa mama ilikuwa rahisi sababu baba alichukua mtoto na kumpeleka kwa dada yake na akawa anaishi huko mpaka sasa hivi majukumu na matumizi ya mtoto dada yake baba anasema na mama mtu kumuona mtoto anaenda huko kwa anti.. nadhani ni makubaliano yao ili kuondoa sintofahamu. Muhimu upendo ukiwa nayo Hayo huwezi revenge
 
umemkuta na mtoto wa nje ukapotezea akadunga tena nje akaleta tena mtoto mara amedunga tena nje mtoto yaani ni series ww upo tu unavumilia itakuwa una ganzi ama nini??
Mimi nazani unapotosha jamii. Hakuna ganzi wala kuvumilia.
Jibu lipo wazi kabisa hakuna haja ya kuumiza kichwa alimkuta anamtoto je alimuuliza ilikuwaje.
Ni sawa ukamkuta mpenzio anamatatizo ya tumbo.
Hukutaka kujua tatizo.
Sasa akijinyea kitandani yazoe mavi hakuna haja ya kuumiza kichwa
 
Naomba kukujibu kwa uelewa wangu

(1) mahusiano yanaweza kuendelea kutokana na mazoea mlokuwa nayo na uyo mtoto ambae tayari ni kiunganishi

(2) mapenzi ni lazima yatapungua tena mwanamke hatoweza kukuamini tena sababu usaliti wenye kidhibitisho huumiza sana na hali hiyo inaweza kumbadili ata matendo yake akatafuta na yeye kipoozeo cha hayo maumivu kwa fikra kwamba uyo binti ulozaa naye tayari umehamishia mapenzi kwake.

(3) Apo kwenye kuivunja ndoa itategemeana una mjali kiasi gani, namaanisha kama umeongeza mapenzi zaidi tofauti na mwazo kwa mwanamke ni vigumu kutengana ila ukileta ubabe sababu ya uanaume wa kuzaa nje ya ndoa basi utadaiwa talaka usiku na mchana
 
Ni kweli ila hapo lazima mwanaume ajutie kosa na akuambie kila analolifanya kule .. ila me kwa mama ilikuwa rahisi sababu baba alichukua mtoto na kumpeleka kwa dada yake na akawa anaishi huko mpaka sasa hivi majukumu na matumizi ya mtoto dada yake baba anasema na mama mtu kumuona mtoto anaenda huko kwa anti.. nadhani ni makubaliano yao ili kuondoa sintofahamu. Muhimu upendo ukiwa nayo Hayo huwezi revenge
Kipindi cha mama zetu, ishu kma hyo ni simpo sana. They understood the situatio so easily, hasa na kale kamfumo dume na ile notion ya kwamba " wanaume ndo walivyo". Sasa tujaribu kuiwaza kwa kizazi hiki cha sasa.
 
Pamoja na yoote kama amezaa nje alafu still mnaishi vzr.

Cha kujiuliza kwann amezaa nje???
Je mmesolve hilo tatizo?? If no problem je amekiri kwamba yeye(me ) ndio jipu???
Huyo mzazi Wa pemben...je are they still dating??? Wanamakubaliano gani??

Namna gani mnaweza kuish kama kawaida just as before hajaleta mtoto.

Nahisi bora kukaa kuliko kuondoka kama ikiwa bado hujazaa saana.
 
Naomba kukujibu kwa uelewa wangu

(1) mahusiano yanaweza kuendelea kutokana na mazoea mlokuwa nayo na uyo mtoto ambae tayari ni kiunganishi

(2) mapenzi ni lazima yatapungua tena mwanamke hatoweza kukuamini tena sababu usaliti wenye kidhibitisho huumiza sana na hali hiyo inaweza kumbadili ata matendo yake akatafuta na yeye kipoozeo cha hayo maumivu kwa fikra kwamba uyo binti ulozaa naye tayari umehamishia mapenzi kwake.

(3) Apo kwenye kuivunja ndoa itategemeana una mjali kiasi gani, namaanisha kama umeongeza mapenzi zaidi tofauti na mwazo kwa mwanamke ni vigumu kutengana ila ukileta ubabe sababu ya uanaume wa kuzaa nje ya ndoa basi utadaiwa talaka usiku na mchana
Hiyo namba mbili (2) ni ukweli mchungu...!!!
 
Kipindi cha mama zetu, ishu kma hyo ni simpo sana. They understood the situatio so easily, hasa na kale kamfumo dume na ile notion ya kwamba " wanaume ndo walivyo". Sasa tujaribu kuiwaza kwa kizazi hiki cha sasa.
Kwa kizazi hiki me kama me sidhani kama nitaelewa japo sitamuacha hasa kama bado yupo vizuri mfukoni.. ila kama anafanya ujinga na pesa hamna namuacha live live hata amini
 
Kukuta hata na Watoto sita Ndo tukaoana haina shida kabisa ila tupo wote tena ukaongeze mwingine kwa kweli changamoto

Kubwa inategemea na wewe utakavojieleza na kukiri kosa kuzidisha upendo labda ntakaa ila ndo wale amekosea bado anakuwa mkali tena sijui kwa kweli

Mapenzi yanauma ukisalitiwa sidhani Kama ntakupenda Kama awali

Ukitaka kukaa na mkeo vizuri mfanye akuamini na mtreat vizuri Hivi nkivikosa mweeeee inakuwa mtihani kidogo
 
Back
Top Bottom