Nina mdogo wangu mwenye umri wa miaka 16 ametokea uvimbe kwenye matiti,yani huo uvimbe unakuwa mgumu mgumu vile alafu ukimshika kwa nguvu unauma hii ni kwanini?
si uvimbe wote ni cancer!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!mimi sio dokta,ila vivimbe vivimbe hivyo,sio kitu kizuri.kwa nini asiende hospitali?kwani cancer za kwenye maziwa kwa wanaume pia zipo.pengine ni nothing ila ni vizuri aende akaangaliwe
Gynacomastia. Sio maradhi. Awache kuyachezea na kuyaminya. Mara nyingi yanapotea afikapo miaka 18 hadi 22.
Good luck.
si uvimbe wote ni cancer!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Gynacomastia. Sio maradhi. Awache kuyachezea na kuyaminya. Mara nyingi yanapotea afikapo miaka 18 hadi 22.
Good luck.
So akianza ku do (X) vitaisha auMkuu hakuna cha cancer hapo wew ni she au he??
Kama ni he unashangaa nin sasa ? Wew hujawahi kutwa na hali hiyo??
Mkuu usiwe na wasi ni barehe tu hizo.
Akikua na akianza ku do hivyo vivimbe vita potea
si uvimbe wote ni cancer!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
mimi sio dokta,ila vivimbe vivimbe hivyo,sio kitu kizuri.kwa nini asiende hospitali?kwani cancer za kwenye maziwa kwa wanaume pia zipo.pengine ni nothing ila ni vizuri aende akaangaliwe