Hii kitu inanifikirisha sana.
Katika maisha yangu nimeishi katika mapito ya kuhustle sana kwa mbinde mpaka nimetoka kimaisha.
Mara nyingi nimeishi maisha ya kujitegemea tangu utotoni.
Sasa nimejikuta najua mapishi mengi sana. Alafu hulka yangu huwa napenda kila ninachokifanya nifanye katika ubora uliotukuka. Nikiona siwezi kufanya kitu kwa ubora ninaotaka bora niache.
Sasa kwenye mapishi maisha yangu yamekuwa gumzo kwa akina dada wananikwepa sana.
Ikitokea akaja msichana kunitembelea kwangu basi menu nitakayopika kwanza hataamini macho yake kama ni mimi nimepika. Wengine mpaka wanakiri kusema siwezi kuwa naye kwa sababu nitakuwa nakosoa mapishi yake kila wakati. Mwingine anasema hatakaa anipikie maana hawezi kupika level yangu.
Sasa akina dada mnakwama wapi? Kweli nikukose kwa sababu nakuzidi kupika?
Kwani mnalelewa kwenye jokofu kiasi hata usiweze kupika?
Sio fresh, badilikeni buana
Katika maisha yangu nimeishi katika mapito ya kuhustle sana kwa mbinde mpaka nimetoka kimaisha.
Mara nyingi nimeishi maisha ya kujitegemea tangu utotoni.
Sasa nimejikuta najua mapishi mengi sana. Alafu hulka yangu huwa napenda kila ninachokifanya nifanye katika ubora uliotukuka. Nikiona siwezi kufanya kitu kwa ubora ninaotaka bora niache.
Sasa kwenye mapishi maisha yangu yamekuwa gumzo kwa akina dada wananikwepa sana.
Ikitokea akaja msichana kunitembelea kwangu basi menu nitakayopika kwanza hataamini macho yake kama ni mimi nimepika. Wengine mpaka wanakiri kusema siwezi kuwa naye kwa sababu nitakuwa nakosoa mapishi yake kila wakati. Mwingine anasema hatakaa anipikie maana hawezi kupika level yangu.
Sasa akina dada mnakwama wapi? Kweli nikukose kwa sababu nakuzidi kupika?
Kwani mnalelewa kwenye jokofu kiasi hata usiweze kupika?
Sio fresh, badilikeni buana