Mwanaume kupigwa na mke n hatar

Mwanaume kupigwa na mke n hatar

Goku 255

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2025
Posts
432
Reaction score
838
Wilaya ya hai mkoani Kilimanjaro ni hatari sana, yani suala la mwanaume kula mbata n jambo la kawaida na ukicheza unasukumiwa na ngumi.Yan wadada wakimachame na waogopa kama moto. Sijui wanaum watakimbilia wap Yan kwa machame wake ndoh wanaongoza boma, wanaume hawana saut kabs
 
Kwa mila za kichaga mke akimpiga mume inaashiria mume atakufa muda si mrefu na ni taboo! Ikitokea inachukuliwa serious sana na wazee wa ukoo, labda ndoa za walevi kule kwenye mbege zisizo rasmi
 
Kwa mila za kichaga mke akimpga mume inaashiria mume atakufa muda si mrefu na ni taboo! Ikitokea inachukuliwa serious sana na wazee wa ukoo, labda ndoa za walevi kule kwenye mbege zisizo rasmi
Kabisa tena wale ambao tayari wamekata tamaa kabisa na wamechakaa na ulevi
 
Back
Top Bottom