chenjichenji
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 1,755
- 3,451
Kumwaga chozi ukiwa unaelekea 'kibo' nayo si fresh?,maana mimi wazungu huwa wanatoka sambamba na chozi!!.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaa I can imagine, ungeenda kulia mbele yake. Hua tuna huruma, angeona machozi labda angekuelewa mkaendeleza mapenz.
Si ndo vzuri anaona unampenda, sema asitake advantage tu ya upendo wako kwake akaanza kuzingua. Hapo ndo shida ipoYeeessuuu ukimlilia mwanamke mbele yake kwanza anaenda kuchekea chumbani anaanza kujishangaa namna gani alivyokuteka yaani utampa ma confidence balaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Si ndo vzuri anaona unampenda, sema asitake advantage tu ya upendo wako kwake akaanza kuzingua. Hapo ndo shida ipo
😆😆
Yes Mimi ni Mwanaume na huwa naliaga But ni Nadra Sana kwa Mwaka haizid 3 times And Nobody ever Seen me Crying