Mwanaume kukaa kwa wazazi!

Mwanaume kukaa kwa wazazi!

Kiwa

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2011
Posts
2,102
Reaction score
910
Habari zenu wakuu!

Huwa kuna jambo linanichanganya kweli!unakuta kijana wa kiume amemaliza chuo kikuu,anafanya kazi kwa miaka kama mitatu hivi ila cha kushangaza bado anakaa kwa wazazi!kibaya zaidi wengine unakuta wanakaa kwa ndugu very comfortable!

Kinachonikera hawa vijana ndo wa kwanza kujishaua mjini hapa kwenye starehe!

Anyway labda mimi najudge vibaya ila wenzangu kijana kama huyu mnamchukulia kama mwanaume au mvulana?!




Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Malengo yanatofautiana!jamaa yangu kabsa still anakaa kwao kaz nzur mwaka wa 4 huu..!amenunua gar na anamalizia ujenz wa nyumba yake kwan ktk v2 ambavyo anavpinga kikubwa ni kupanga
 
We jinsia yangu inakuhusu nini?sishangai kama wewe utakuwa unakaa kwenu,au bwana ako anakaa kwenu ndo unamtetea!

Mada hujaielewa unarukia tu!ndo mana mnapataga mimba za utotoni!

Nimeuliza ni kitu sahihi au sio sahihi,so what u were suppose to say is correct or not correct according to u BI*CH!!

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Malengo yanatofautiana!jamaa yangu kabsa still anakaa kwao kaz nzur mwaka wa 4 huu..!amenunua gar na anamalizia ujenz wa nyumba yake kwan ktk v2 ambavyo anavpinga kikubwa ni kupanga


Hapo nimekupata mkuu!vile vile nna jamaa yangu kabaki na mama ake tu so hawezi akamuacha alone

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
We ni wa kike au wa kiume?

Manake tatizo hili la kufuatilia maisha ya watu wengine (umbea) ni kubwa zaidi ya hicho unachotaka kusema. Au wewe ni wa kike na jamaa anayekugegeda kakomaa anajua akichukua tu room utahamia sasa ndio unamwagika povu?


Kwa mtindo huu ndio maana mnapata mimba za utotoni,mnakurupukia mambo hata huyajui

What I asked is "is it right or mimi ndo najudge vibaya"?kama hauna jibu kaa kimya! Sikushangai sana jina lako ni boga,au kiboga?!au unaliwa kiboga na mamilionea?!

Sikushangai itakuwa unakaa kwa baba wewe ana anaekugegeda anakaa kwa baba ndo mana unatetea!!!


Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Wengine ni last born, mzazi unakuta amebaki mmoja, so anapoondoka home mzazi anakuwa bored, labda kama anataka kuoa na kuanzisha familia sawa lakini kama bado upo upo bora ukae home tu..

Hiyo hela ya kodi unaanza kujenga nyumba yako huku ukisindikiza na ka Altezza pembeni...

Mi wanangu kibao wa primary na sekondari bado wanakaa home na wengi wao wana kazi nzuri sana, lakini wameamua kubaki home sababu bado hawajaamua kuseto for a family na wanaona kuwahi kupanga hakuna dili, hiyo kodi wanafanyia ujasiriamali na mambo mengine ya maana...

Maisha ni tofauti sana, we unachokiona kipo sawa wenzako wanaona unakosea, and vice versa is true.. Pia usisahau usemi usemao "There is no place like home" na mwingine unasema "Home is where your heart is". Na Tmk wanaume wanakwambia nyumbani nyumbani hata kama vichakani
 
Wengine ni last born, mzazi unakuta amebaki mmoja, so anapoondoka home mzazi anakuwa bored, labda kama anataka kuoa na kuanzisha familia sawa lakini kama bado upo upo bora ukae home tu..

Hiyo hela ya kodi unaanza kujenga nyumba yako huku ukisindikiza na ka Altezza pembeni...

Mi wanangu kibao wa primary na sekondari bado wanakaa home na wengi wao wana kazi nzuri sana, lakini wameamua kubaki home sababu bado hawajaamua kuseto for a family na wanaona kuwahi kupanga hakuna dili, hiyo kodi wanafanyia ujasiriamali na mambo mengine ya maana...

Maisha ni tofauti sana, we unachokiona kipo sawa wenzako wanaona unakosea, and vice versa is true.. Pia usisahau usemi usemao "There is no place like home" na mwingine unasema "Home is where your heart is". Na Tmk wanaume wanakwambia nyumbani nyumbani hata kama vichakani


Well said mkuu!hapo nimekusoma,ila what if mtu hana malengo?yan hasave,hafanyi maendeleo,yupo yupo tu?!


Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Malengo yanatofautiana!jamaa yangu kabsa still anakaa kwao kaz nzur mwaka wa 4 huu..!amenunua gar na anamalizia ujenz wa nyumba yake kwan ktk v2 ambavyo anavpinga kikubwa ni kupanga

Huyo anabwana we hujuwi tu malengo gani hayo. Unashangaa kwani huwa unakaa naye masaa yote!
 
Habari zenu wakuu!

Huwa kuna jambo linanichanganya kweli!unakuta kijana wa kiume amemaliza chuo kikuu,anafanya kazi kwa miaka kama mitatu hivi ila cha kushangaza bado anakaa kwa wazazi!kibaya zaidi wengine unakuta wanakaa kwa ndugu very comfortable!

Kinachonikera hawa vijana ndo wa kwanza kujishaua mjini hapa kwenye starehe!

Anyway labda mimi najudge vibaya ila wenzangu kijana kama huyu mnamchukulia kama mwanaume au mvulana?!




Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
acha kufatilia maisha ya watu fanya yako hapa mjini!kama baba yako hakujenga mjini?
back to topic! ata mm bado nakaa home kwa sababu zifuatazo

  • nyumba ipo karibu na city centre kazini natembea tu
  • nyumbani ni mtoto wa mwisho
  • mzazi ninayeishi nae ni single parents
  • siwezi kutumia gharama kubwa kwenda kuishi mbweni,pugu,bunju wakati gharama za mafuta ni sawa nakupanga mjini
  • wazazi waliniandalia mazingira mazuri ya kuishi mjini
watu wengine wanaona wivu wazazi wao walichelewa kuja mjini
 
acha kufatilia maisha ya watu fanya yako hapa mjini!kama baba yako hakujenga mjini?
back to topic! ata mm bado nakaa home kwa sababu zifuatazo

  • nyumba ipo karibu na city centre kazini natembea tu
  • nyumbani ni mtoto wa mwisho
  • mzazi ninayeishi nae ni single parents
  • siwezi kutumia gharama kubwa kwenda kuishi mbweni,pugu,bunju wakati gharama za mafuta ni sawa nakupanga mjini
  • wazazi waliniandalia mazingira mazuri ya kuishi mjini
watu wengine wanaona wivu wazazi wao walichelewa kuja mjini

We punga zeze hakuna wa kukuonea wivu,kisa nn baba ako alikuandalia maisha?!sio kila mtu anasubiri ya kuandaliwa maisha!

Anyway all in all tulia home watu waje kukuposa mtoto mzuri wa mama!!

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
acha kufatilia maisha ya watu fanya yako hapa mjini!kama baba yako hakujenga mjini?
back to topic! ata mm bado nakaa home kwa sababu zifuatazo

  • nyumba ipo karibu na city centre kazini natembea tu
  • nyumbani ni mtoto wa mwisho
  • mzazi ninayeishi nae ni single parents
  • siwezi kutumia gharama kubwa kwenda kuishi mbweni,pugu,bunju wakati gharama za mafuta ni sawa nakupanga mjini
  • wazazi waliniandalia mazingira mazuri ya kuishi mjini
watu wengine wanaona wivu wazazi wao walichelewa kuja mjini

Obama wa bongo anaesubiri mzazi akuandalie maisha?!pigana mtoto wa kiume utaposwa

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Habari zenu wakuu!

Huwa kuna jambo linanichanganya kweli!unakuta kijana wa kiume amemaliza chuo kikuu,anafanya kazi kwa miaka kama mitatu hivi ila cha kushangaza bado anakaa kwa wazazi!kibaya zaidi wengine unakuta wanakaa kwa ndugu very comfortable!
Kinachonikera hawa vijana ndo wa kwanza kujishaua mjini hapa kwenye starehe!
Anyway labda mimi najudge vibaya ila wenzangu kijana kama huyu mnamchukulia kama mwanaume au mvulana?!

Wanasubiri kuchumbiwa!
 
unajua mabinti wengi hawapendi wawaone wanaume wanakaa kwao, wanapenda mwanamme apange ili awe anakuja kumsalimia mwishowe ahamie. mimi binafsi nimemaliza chuo mwaka 2009 niliajiliwa mwaka 2010 Feb. na kampuni kubwa tu. nimekaa home nimewasidia sana wazazi wangu pamoja na wadogo zangu. mpaka mwaka 2013 march nilipoamua kuoa na kuhama home kwangu mwenyewe. na kuanza maisha mapya na mke wangu. mabinti wengi , hasa wale nilikuwa nadate nao walikuwa wananisemea mbovu wakati ule nahishi na wazazi wangu.
 
We punga zeze hakuna wa kukuonea wivu,kisa nn baba ako alikuandalia maisha?!sio kila mtu anasubiri ya kuandaliwa maisha!

Anyway all in all tulia home watu waje kukuposa mtoto mzuri wa mama!!

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

Wanapenda vya kunyonga haoo! Na kugegeda kwa mikopo!!
Kakuhonga saaaana kilo, kwa manung'uniko kichizi.
Kuvaa wanashindana na mabinti! Kazi kunukia tu kama majini!
 
Back
Top Bottom