Mwanaume kama binti

Mwanaume kama binti

MasterP.

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2013
Posts
8,226
Reaction score
6,723
Pedicure You know!!
20220417_170345.jpg
 
Kuna viumbe wawili ambao huwa nashangaa kwanini wanachukiwa,inawezekana mimi ndio niko nje ya hii dunia sijui walikosea nini

Mmoja ni huyo kwenye picha hapo
Mwingine tunae hapa jukwaani anaitwa GENTAMICIN

Sasa kama hiyo picha ina shida gani hata aanzishiwe uzi wa mwanaume kama binti?
 
Kuna viumbe wawili ambao huwa nashangaa kwanini wanachukiwa,inawezekana mimi ndio niko nje ya hii dunia sijui walikosea nini

Mmoja ni huyo kwenye picha hapo
Mwingine tunae hapa jukwaani anaitwa GENTAMICIN

Sasa kama hiyo picha ina shida gani hata aanzishiwe uzi wa mwanaume kama binti?
Hoja [emoji41]
 
Kuna viumbe wawili ambao huwa nashangaa kwanini wanachukiwa,inawezekana mimi ndio niko nje ya hii dunia sijui walikosea nini

Mmoja ni huyo kwenye picha hapo
Mwingine tunae hapa jukwaani anaitwa GENTAMICIN

Sasa kama hiyo picha ina shida gani hata aanzishiwe uzi wa mwanaume kama binti?
Mkuu Kama hujaona shida n wewe subir uzae mtoto wa kiume ndio utajua hujui
 
Kuna viumbe wawili ambao huwa nashangaa kwanini wanachukiwa,inawezekana mimi ndio niko nje ya hii dunia sijui walikosea nini

Mmoja ni huyo kwenye picha hapo
Mwingine tunae hapa jukwaani anaitwa GENTAMICIN

Sasa kama hiyo picha ina shida gani hata aanzishiwe uzi wa mwanaume kama binti?
Uyo wa mitandaoni uko sahii,
Uyu wa jf nakupinga, ana mdomo mchafu Sana mfatilie vizur ndo maana ban hazimuishi kila Mara.
 
Kuna viumbe wawili ambao huwa nashangaa kwanini wanachukiwa,inawezekana mimi ndio niko nje ya hii dunia sijui walikosea nini

Mmoja ni huyo kwenye picha hapo
Mwingine tunae hapa jukwaani anaitwa GENTAMICIN

Sasa kama hiyo picha ina shida gani hata aanzishiwe uzi wa mwanaume kama binti?

KHAA....!

Kwa hiyo.. Unataka Kusema Aliyeanzisha 'Sredi'... ni mtu Anayetokea MBEYA... Yaani ni MMBEYA....!
 
Kuna viumbe wawili ambao huwa nashangaa kwanini wanachukiwa,inawezekana mimi ndio niko nje ya hii dunia sijui walikosea nini

Mmoja ni huyo kwenye picha hapo
Mwingine tunae hapa jukwaani anaitwa GENTAMICIN

Sasa kama hiyo picha ina shida gani hata aanzishiwe uzi wa mwanaume kama binti?
Tatizo lao wanapenda kujitutumua sana, so kila wafanyalo nalo linachukiwa.

Hapo kwenye picha sioni tatizo.
 
Uyo wa mitandaoni uko sahii,
Uyu wa jf nakupinga, ana mdomo mchafu Sana mfatilie vizur ndo maana ban hazimuishi kila Mara.
Sure mwamba ana mdogo mchafu utadhani anatumia mkun.d.u kuongea
 
Back
Top Bottom