Teme mate chini suzie, bila mwanaume uta survive kwa shida mno.I am sorry kwa huyo jamaa
Ila wanaume...lolote liwakute🙌🙌
Ipo jikoni sitaki niilete vipande itakuja ikiwa imekamilikaMkuu tunaomba story yoyote huko utuletee nimekumbuka simulizi yako ya harakati za maisha Simulizi: Harakati za maisha
Hapana mkuu yapo mengi tunaonewaWewe mtoto wa kiume acha kujilegeza unataka na ww upetiwepetiwe? Sindomwanzo wa kuleft? Mwanaume ni kupambana
Tunaisubiri mkuuIpo jikoni sitaki niilete vipande itakuja ikiwa imekamilika
Halafu ukirudi utaambiwa tulikusahau,hebu nenda utarudi tenaKucheleweshewa hudumaaa ..... Waweza ambiwa subiri adi kesho ama wiki ijayoo
Sijawahi kuwa mnyonge,ila kwakuwa nipo kwenye Social science naona mengi mkuu,ni huruma kwa kweliMkuu dunia haiko fair na haitakuja kuwa fair. Tuache kulia lia tuendelee kupambana tu ila usikubali unyonge
KabisakabisaMkuu dunia haiko fair na haitakuja kuwa fair. Tuache kulia lia tuendelee kupambana tu ila usikubali unyonge
Uko sahihi kwa asilimia 80 lakini kumbuka kuna vitu havihusishi pesaTusake pesa tu , utasikilizwa penda wasipende.
Pesa ndio kila kitu mkuu ,hakuna nyau atakudharau .Uko sahihi kwa asilimia 80 lakini kumbuka kuna vitu havihusishi pesa
Kama uchagani kuna udhalilishaji mkubwa sana hasa ukikosa pesa ,unaonekana mleta fujo.Dunia haipo fair mkuu, tupambane tu hadi tupate tunachotaka.
Tena nyie watu wabaya sana, mnathamini sana pesa kuliko utu na nafasi ya mtu. Nawahurumia first born wa kichaga ambao hawana pesa, wanadhalilishwa sana kwenye vikao yenu vya mwaka.Kama uchagani kuna udhalilishaji mkubwa sana hasa ukikosa pesa ,unaonekana mleta fujo.