jaqfantasy212
JF-Expert Member
- Dec 17, 2012
- 542
- 258
Habari wanaJF..
Nimekuwa nikijiuliza hili swali mara nyingi, mwanaume huwezi kumwambia mke wako/msichana wako sikutaki/nimekuchoka, mpaka umeonyeshe visa/vimbwanga...mbona ujasiri wa kumfata kwa mara ya kwanza na kumwambia nakupenda unao ila wa kumwambia sikutaki ndio hamna?
Nawakilisha...
Nimekuwa nikijiuliza hili swali mara nyingi, mwanaume huwezi kumwambia mke wako/msichana wako sikutaki/nimekuchoka, mpaka umeonyeshe visa/vimbwanga...mbona ujasiri wa kumfata kwa mara ya kwanza na kumwambia nakupenda unao ila wa kumwambia sikutaki ndio hamna?
Nawakilisha...