Mwanaume huwezi kusema "sikutaki"....

Mwanaume huwezi kusema "sikutaki"....

jaqfantasy212

JF-Expert Member
Joined
Dec 17, 2012
Posts
542
Reaction score
258
Habari wanaJF..

Nimekuwa nikijiuliza hili swali mara nyingi, mwanaume huwezi kumwambia mke wako/msichana wako sikutaki/nimekuchoka, mpaka umeonyeshe visa/vimbwanga...mbona ujasiri wa kumfata kwa mara ya kwanza na kumwambia nakupenda unao ila wa kumwambia sikutaki ndio hamna?


Nawakilisha...
 
becoz ukishapata demu una uhakika wakumega papuchi...unajua kuwinda demu sawa na mawindo mengi ya porini unaweza toka kapa na pia inatumia energy...sasa bora unakuwa na kiporo chako hapo pembeni atakama mawindo hayajazaa matunda k ya kugegeda unayo
 
Wapo wanaume kauzu wanawapa black and white
 
Neno zito hilo bidada mi mwenyewe siwezi kumwambia mtu, naacha vitendo tu ndo viongee........
 
Mw'ke ukimwambia live humtaki, anaumia sana. 2nawahurumia kwa hilo.
 
Ukishamchoka unaanza kuwekeza katika kugegedana tu akija kustuka keshaliwa vya kutosha......
Ndio tunapendaga hivyo.......
 
mi nadhani hakuna sababu ya kumficha au kumfanyia vitendo tu jamani,. hata kama mtu ukimfanyia mwenzio vitimbi mwisho wa siku bora umwambie bwana ee mimi sikutaki.. maan mwingine waweza mfanyia vituko tu na akavumilia akawa anasubiri kauli yako ya mwisho.. mi naona jamani busara ni kumwambia mtu ukweli, hakuna kuumia wala nini, kuumia kuliko unavyomfanyia? kuliko kumuumiza mtu kwa vitendo, bora umtamkie waz tu., mbona wakati wa kutongozana mliambiana wazwaz? hata kama ni vitendo lakini mwisho wa siku maneno yalitamkwa.Ila mungu anachukia kuachana,. tupendane jamani, tusidharauliane, tuheshimiane, maana dunia hii twapita tu, utaacha wangap?
 
Habari wanaJF..

Nimekuwa nikijiuliza hili swali mara nyingi, mwanaume huwezi kumwambia mke wako/msichana wako sikutaki/nimekuchoka, mpaka umeonyeshe visa/vimbwanga...mbona ujasiri wa kumfata kwa mara ya kwanza na kumwambia nakupenda unao ila wa kumwambia sikutaki ndio hamna?
Nawakilisha...

Kwasababu wanaume tuna huruma sana,ni wababe,wakorofi lakini linapofika swala hilo ni wapole sana na kurudi nyuma,huwa sisi tuna rudi nyuma,tunatafakari why?then tunarudi nyuma bt Women never look back ,never in their life...
BT MEN SO MANY TIMES ATARUDI NYUMA....Unahisi utamuumiza sana,unaweza kumpotezea bt sio kumwambia humtakiiii....utu pia unachangia....haya ni mawazo tu...its a free discussion,and it is subjective,and Contingency....
 
Kwasababu wanaume tuna huruma sana,ni wababe,wakorofi lakini linapofika swala hilo ni wapole sana na kurudi nyuma,huwa sisi tuna rudi nyuma,tunatafakari why?then tunarudi nyuma bt Women never look back ,never in their life...
BT MEN SO MANY TIMES ATARUDI NYUMA....Unahisi utamuumiza sana,unaweza kumpotezea bt sio kumwambia humtakiiii....utu pia unachangia....haya ni mawazo tu...its a free discussion,and it is subjective,and Contingency....

mkuu kipi bora kwangu, uniambie ukweli niumie au unifanyie vituko?
 
Neno zito hilo bidada mi mwenyewe siwezi kumwambia mtu, naacha vitendo tu ndo viongee........

wakati mwingine ndugu ukweli ni muhimu zaid hata unauma vp...mbona huwa wanaongea maneno mazito na magumu zaidi ya hilo..
 
mkuu kipi bora kwangu, uniambie ukweli niumie au unifanyie vituko?

Inategemea na akili ya mwanamke,kama unahisi hana uvumilivu unaweza kumpotezeaaaa kila mara,bt kama ni mwelewa unamwambia kiutu uzima,sio sikutakiiiii kavu kavu,kama wao wanavyotuambiaga unapomtokea for the first time. BT respond tuuu utajua jamaaa kabadilika,au hatuko pamoja NAE,usiuumize moyo wa mwenzako,tena kama mwanamke anataka kwenda chuo halafu simtaki,namwambia kasome ili maisha yawe poa,namuweka awe na exposure ya watu,apate watu wamuoe,then,hata ntakapokata mawasiliano nae hataumia sana,coz atakuwa exposed na watu wa kumliwaza,bt sio tuko 2 namwambia simtaki,hii haijatulia,kwa mimi "Rightist"....leftist anaweza kukuambia hakutaki..bt very few hawa mimi sijaona,alama za nyakati utasoma mkuu.
"mapenzi ni sanaaa,sio ugomvi"
 
Ukweli siku zote unauma, na kudanganya pia si solution...mchane live ili ajipange, ili ujipe nafasi ya kuendelea na mwenzi wako mpya bila usumbufu


Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
 
becoz ukishapata demu una uhakika wakumega papuchi...unajua kuwinda demu sawa na mawindo mengi ya porini unaweza toka kapa na pia inatumia energy...sasa bora unakuwa na kiporo chako hapo pembeni atakama mawindo hayajazaa matunda k ya kugegeda unayo

hili nalo neno
 
Wewe unapenda umwagwe au umiminwe?
 
Back
Top Bottom