Mwanaume huwezi kusema "sikutaki"....

Mwanaume huwezi kusema "sikutaki"....

Mwanamke king'ang'anizi unampa makavu sikutaki.
 
Habari wanaJF..

Nimekuwa nikijiuliza hili swali mara nyingi, mwanaume huwezi kumwambia mke wako/msichana wako sikutaki/nimekuchoka, mpaka umeonyeshe visa/vimbwanga...mbona ujasiri wa kumfata kwa mara ya kwanza na kumwambia nakupenda unao ila wa kumwambia sikutaki ndio hamna?


Nawakilisha...


Dada nackitika sana juu ya lawama hizi ambazo umezielekeza kwa wanaume tuu kuhusiana na hili la visa ambavyo unadai wanaume ndo ambao huwa wanavifanya,ukweli ni kwamba dada zetu ndo mmekuwa wabaya zaidi ktk hili maana ni wepesi sana kusahau wema wa mtu hasa pale unapopata mahali pa kuegemea(figa la pili).Ni kawaida kwa wasichana wengi kuwa na dharau kiburi kwa wanaume zao pale wanapoanzisha mahusiano mengine pembeni,nayasema haya nikiwa na uzoefu ktk jambo hili(muhanga).
 
Neno zito hilo bidada mi mwenyewe siwezi kumwambia mtu, naacha vitendo tu ndo viongee........
ujakutana na wakushi kama mimi,nakwambia wazi tu...NAKUITA MAHALI,TULE TUNYWE KISHA NAKWAMBIA...UNAJUA NI VIPI TUPEANE BREAK,MI BANA SINA FEELING TENA KWAKO,AM SORRY.then na muita weita na pay bill na sepa
 
Wanaume tuko used na vibuti... Huwa haituumizi sana kama mademu.... Wao kibuti kimoja anawachukia wanaume wooooteeee wakati kwa mwanaume, kibuti cha huyu si cha yule

mmmmh hii inategemea mtu na mtu kama ilivyo kwa wanawake maumivu hayana mwenyewe jamani, si mwanaume wala mwanamke kuna mdau alipost majuz hapa kuwa ameamua kuwa single milele na ni mwanaume, so suala la mapenzi ni zito kwa kila anaejali, ila kwa wasiojali si shida kwao wala hawawez kuwa na maumivu yeyote
 
Dada nackitika sana juu ya lawama hizi ambazo umezielekeza kwa wanaume tuu kuhusiana na hili la visa ambavyo unadai wanaume ndo ambao huwa wanavifanya,ukweli ni kwamba dada zetu ndo mmekuwa wabaya zaidi ktk hili maana ni wepesi sana kusahau wema wa mtu hasa pale unapopata mahali pa kuegemea(figa la pili).Ni kawaida kwa wasichana wengi kuwa na dharau kiburi kwa wanaume zao pale wanapoanzisha mahusiano mengine pembeni,nayasema haya nikiwa na uzoefu ktk jambo hili(muhanga).

sasa kama wewe ndo muhanga waweza vip kujumuisha wanawake wote kwenye uzoef wako? yeye amesema kwa wanaume zaid maana katika human society, wanawake ndo victims wengi kwenye masuala ya kuachwa kuliko wanaume,(source human rights watch) si kwamba wanawake hawaachi, ila rate inaonekana zaid kwa wanaume, maana hakuna watu ambao ni sympathetic kama wanawake pamoja na kuwa wengine ni wakatili na wakorofi, so wanaume ndo wanaonekana kuwa wadau wazuri wa kuacha na wengi wao hawasemi wazi, bali utaona vitendo tu.
 
ujakutana na wakushi kama mimi,nakwambia wazi tu...NAKUITA MAHALI,TULE TUNYWE KISHA NAKWAMBIA...UNAJUA NI VIPI TUPEANE BREAK,MI BANA SINA FEELING TENA KWAKO,AM SORRY.then na muita weita na pay bill na sepa

Mhhhhh unavyoyasema kama vile raha sana kumuacha mpenzio!afu unakuta kisa chenyewe kuna dem mwingine anakuzingua,ngoja iwe ndo wewe unalia mimachozi wee mpaka mashavuni huoni hata aibu kuwa kuna watu pembeni yenu,kweli mkuki kwa nguruwe nimeamini.
 
ujakutana na wakushi kama mimi,nakwambia wazi tu...NAKUITA MAHALI,TULE TUNYWE KISHA NAKWAMBIA...UNAJUA NI VIPI TUPEANE BREAK,MI BANA SINA FEELING TENA KWAKO,AM SORRY.then na muita weita na pay bill na sepa

Unalosema ni sawa, ila unaweza ukakuta huyo msichana alikupenda kwa dhati na alikuwa wala hakucheat , unavyomwambia hivyo inamuumiza sana, na watu kama nyie huwa hamna msisha mema, maana mkataa pema pabaya panamwita.
Mimi niliitwa pale panaitwa Hadees sasa hivi, ikanunuliwa juice, nikaambiwa hivyo hivyo na jamaa yangu, mm nilikuwa nafanya Tanesco, yeye alikuwa TTCL, alipomaliza nilisikia kama kisu kimechoma kwenye moyo wangu, nikamshukuru Mungu, nikarudi ofisini nikachukua seeksheat kwamba naenda Hosp. nikaenda home kupumzika, baada ya miezi 3 nikapata mume nimeolewa, ninawatoto 3 wa kwanza yupo form 4 , wa pili yupo la 7 na watatu yupo 1. yeye mpk sasa hajaoa, hana hata mtoto .
Juzi nimekutana naye kko, akabaki anababaika na kusema ningejua nisingekuacha, yule mwnamke aliyesababisha kuachana nawe alinitoroka akaolewa na wenye pesa" anajuta .Kwa hiyo unaweza ukafanya kitu kikawa na madhara baadae na ukaja juta.
 
hebu tuambie mfano wa vitendo ufanyavyo....

Akiniita namwambia nakuja afu siji, akiuliza badae mbona hukuja najibu nlikuwa na kazi, mbona hukunijulisha najibu nilipitiwa.....
Kama nimemzoesha kumuaga nikienda mahali siagi tena afu majibu yanakuwa short tu!!!
Akituma msg sijibu, akipiga simu namwambia ndo nimeona msg sahivi,ok nijibu sahivi sina credit nafanya na kero nyingine nyingiiii....ATAELEWA TU NAMAANISHA NINI!!!
 
Mhhhhh unavyoyasema kama vile raha sana kumuacha mpenzio!afu unakuta kisa chenyewe kuna dem mwingine anakuzingua,ngoja iwe ndo wewe unalia mimachozi wee mpaka mashavuni huoni hata aibu kuwa kuna watu pembeni yenu,kweli mkuki kwa nguruwe nimeamini.
blue..mwanaume ulie kutokana na kibuti du!!we zoba i will never cry for women,kama hupendwi hupendwi tu
 
Unalosema ni sawa, ila unaweza ukakuta huyo msichana alikupenda kwa dhati na alikuwa wala hakucheat , unavyomwambia hivyo inamuumiza sana, na watu kama nyie huwa hamna msisha mema, maana mkataa pema pabaya panamwita.
Mimi niliitwa pale panaitwa Hadees sasa hivi, ikanunuliwa juice, nikaambiwa hivyo hivyo na jamaa yangu, mm nilikuwa nafanya Tanesco, yeye alikuwa TTCL, alipomaliza nilisikia kama kisu kimechoma kwenye moyo wangu, nikamshukuru Mungu, nikarudi ofisini nikachukua seeksheat kwamba naenda Hosp. nikaenda home kupumzika, baada ya miezi 3 nikapata mume nimeolewa, ninawatoto 3 wa kwanza yupo form 4 , wa pili yupo la 7 na watatu yupo 1. yeye mpk sasa hajaoa, hana hata mtoto .
Juzi nimekutana naye kko, akabaki anababaika na kusema ningejua nisingekuacha, yule mwnamke aliyesababisha kuachana nawe alinitoroka akaolewa na wenye pesa" anajuta .Kwa hiyo unaweza ukafanya kitu kikawa na madhara baadae na ukaja juta.
love is feeling bana...kama sina feeling na wewe siwezi ku force,huyo jamaa ajaowa sababu ya tamaa zake tu labda alikuwa ana penda penda ovyo.mwanaume wa kweli lazima awe wazi,kuachwa kunauma ila NTAKUONA JASIRI NA NTAHESHIMU MAAMUZI YAKO UKIJA KUNI FACE NA KUNIAMBIA UKWELI,kuliko kuninidaganya
 
Akiniita namwambia nakuja afu siji, akiuliza badae mbona hukuja najibu nlikuwa na kazi, mbona hukunijulisha najibu nilipitiwa.....
Kama nimemzoesha kumuaga nikienda mahali siagi tena afu majibu yanakuwa short tu!!!
Akituma msg sijibu, akipiga simu namwambia ndo nimeona msg sahivi,ok nijibu sahivi sina credit nafanya na kero nyingine nyingiiii....ATAELEWA TU NAMAANISHA NINI!!!
yalinikuta haya ndo maana nakuwa na mimi mkatili
 
Huwa atujui kuacha huwa tunajua kutongoza tu,
 
yalinikuta haya ndo maana nakuwa na mimi mkatili

Tunatofautiana, mi hata kama nimetendwa kumtenda mtu kiivo siwezi namuonea huruma....
mdogo mdogo hadi mwenyewe aamue kuishia
 
blue..mwanaume ulie kutokana na kibuti du!!we zoba i will never cry for women,kama hupendwi hupendwi tu
Nina uhakika kabisa hao uliokuwa unawatema walikuwa wa kupita tu hawakuwa wamekuingia moyoni vilivyo na hayajakukuta,unakuta mwanaume analia kama mtoto mdogo machozi mpaka mashavuni :A S cry: :crying: na kamasi juu hata haogopi watu na magoti anapiga.wewe sema nini wewe chezeya mapenzi :busu weweeeee hujampata tu,siku hiyo utalia mno na utanitafuta :help: nikuombee msamaha,mkuu usiombe yakakaukuta yaone tu kwa mwenzio.
 
Ukishamchoka unaanza kuwekeza katika kugegedana tu akija kustuka keshaliwa vya kutosha......
Ndio tunapendaga hivyo.......

Usinichekeshe wewe unazani hawajui kama mapenzi yamekwisha huwa wanajua.inabaki kulana tu.Hata yeye anakukukula vya kutosha.hivyo ngoma droo.
Mie kama simpendi mtu atajua tu ndani ya masa 12 tu.siwezi kukaa na mtu tunazinguana.
 
ht mimi huwa nawashangaa sn......ila ndo maisha hayo!!!!! kuna kuumia na kuumizwa.
 
Back
Top Bottom