Mwanaume hufikiria kufanya mapenzi kila masaa 48

Mwanaume hufikiria kufanya mapenzi kila masaa 48

Himidini

JF-Expert Member
Joined
May 8, 2013
Posts
5,534
Reaction score
4,193
Umewahi kusikia kauli hizi? " Mume wangu hatosheki kitandani.." "..Sidhani kufanya mapenzi ndio liwe jambo la msingi lakini huyu mwanaume kaa! Basi tu kila siku mpaka kero.."
Bila shaka ni kilio cha wanawake wachache walioamua kusema. Hivi kweli ni mara ngapi au kiasi gani tuseme inatosha? Je wanaume wanafanya makusudi? Je kuna uwezekano wakabadilika?

Katika mapenzi, suala la kumtaka mwenza kimapenzi hutegemea sababu nyingi, chache ni uwezo wa kiafya, utayari wa kihisia, usalama wa kazini na mengineyo. Japokuwa jinsia zote huwa na kiu ya mapenzi lakini wanaume huwa ni zaidi.

Daktari David Reuben anasema kuwa ".. Wanaume wengi huzungukia ktk mzunguko wa saa 48 yaani huhitaji kukutana kimwili kila baada ya saa 48 ili wawe ktk hali njema ya kimwili na kiakili..."
Nae Daktari na mwandishi Dr Herbert Miles anasema ".. Mwanaume mwenye afya njema mbegu hujaa kila baada ya saa 42 hadi 78 na kuzalisha nguvu kali inayohitaji zitolewe.."

Pia mwanasayansi Alan Frome anasema kuwa '.. Wanaume wanaonekana kuwa na njaa ya kukutana kimwili kwa sababu ya maumbile ambapo prostate gland ina kifuko kidogo kitunzacho mbegu, na kijaapo, mwanaume huhitaji kuzitoa, presha huzidi zaidi na zikitoka hurudi ktk hali yake ya kawaida.."

UPANDE WA WANAWAKE

Wanawake hutofautiana kabisaa na wanaume hali kadhalika na wao kwa wao. Kwa mujibu wa utafiti wa Johnson Masters 2010, kwa wastani 20-25% ya wanawake huwa na mtazamo hasi au vuguvugu ktk kuhitaji kukutana kimwili.
2% hawajali kabisa kuhusu kukutana kimwili.
25% zaidi huhitaji sana, husaka kukutana kimwili na huanzisha hitaji hili hata kabla ya mwanaume kusema.
50% iliyobaki huwa na uhitaji wa wastani tu.

Ifahamike pia hasa kwa wanaume kuwa, hali ya mwanamke hubadilika sana ktk kuhitaji tendo la ndoa ktk kipindi cha mzunguko wa siku zake.
Lakini mwanamke anapofikia miaka 40+ hitaji la kukutana kimwili hulingana karibu na lile la mwanaume

NINI KIFANYIKE
Wanaume ambao hawajaoa wanapaswa wajike sana ktk shughuli za uzalishaji mali zinazochosha mwili au mazoezi na kuepuka mambo yanayochochea hisia za mapenzi hapo wataishinda saa ya 48, Walio ktk ndoa wawe na utaratibu unaokubaliana na hali ya mwanamke na wajenge mazoea ya kufanya romansi sana ili kuendana na mabadiliko ya mwanaume na kuepusha utumwa wa ngono ndani ya ndoa au kukimbilia nje ya ndoa hali inayoleta magonjwa, kutelekeza familia na mengineyo yasiyoleta furaha ya familia
 
Siyo siri wanawake sometime tunafunika kombe mwanaharamu apite no way coz kukunyima inakuwa si nzuri, ila vizur wanaume wajifunze kusoma alama za nyakati kujua ni wakati gani mzuri mkewe anakuwa tayar.
 
Ukimpenda mwanaume hakuna kuumia hata kwa siku iwe mara 7,japo mnatakiwa mfanye kwa afyaa

Sio mwanamke tu, hata mwanaume anaweza kuumia. Too much of anything is harmful!

Nwy kama mara mnazofanya mapenzi zingekuwa matokeo ya kiasi mnachopendana kuna watu wangekuwa hawa'get laid' ever!! Wengine wanafanya kama jukumu sawa na kufua,kupika n.k, wengine wanafanya kuwaridhisha tu wenzao na wengine wanafanya kuwarubuni wenzao ndio maana wanawake wanaongoza kwa kuFAKE. Mtu anafake tangu kulegea, miguno/kelele mpaka orgasm. Upendo uko wapi hapo?
Na wanaume wasio na msukumo wa kufanya mapenzi sana hawaa upendo kwa wenzi wao?

Upendo ni zaidi ya kungonoka bana. Ndio maana wakaka wanachukua hata dada poa ili wapunguze mzigo mwilini.

Back to topic. . .
Wanaume kweli wanapata msukumo wa kufanya mapenzi sana kutokana na maumbile lakini isiswe sababu ya kujiendekeza na kujidekeza. Miili ni yenu na mamlaka ya kuiendesha ni yenu vile vile. Msome mke/mpenzi wako, kama nae ni wa kila saa basi fanyeni mpaka vifanyio vikatae kuendelea. Ila kama ni wa kiasi jicontrol muende kwa mdundo mmoja. Mara tatu/nne kwa wiki ni reasonable kabisa.
 
^^
Eiyer karibu huenda ukalinganisha majibu ulopewa na akina farkhina Karucee mito Ablessed Bantu lady everlenk J.lee n.k ktk mada yako ya wanawake uliokusanya.
Mashaxizo Excel mwekundu Money Stunna Mndengereko Mapi utafiti n.k have self control after 48 hrs
^^

Mkuu nina mengi sana ya kusema hapa wacha nijaribu kwa kadri ya uwezo wangu

Kuna kitu kinaitwa ukweli,ukweli maana yake ni kile kinachosemwa kukubaliana na hali halisi
Mfano unaposema kuna mtu kajinyea basi huyo mtu aonekane kwenye hali halisi kuwa kajinyea

Kwenye masuala haya ya kukutana kimwili naweza kusema napingana na hawa wanaojiita watafiti na nasema kuwa hawasemi ukweli,nina sababu mbili za kusema hayo

Moja:sababu za kidini
Kwa wale tunaoamini kuwa binadamu kaumbwa na Mungu ni kwamba haiwezekani Mungu amuumbe binadamu mmoja awe na uhitaji mdogo na mwingine awe na uhitaji mkubwa kwenye suala lilelile na tena ambalo linahitajika lifanywe na wote wawili
Huko ni kujikinza

Mbili:Sababu za kimazingira
Kwenye maisha niliyokulia nimeshuhudia zaidi ya kesi 20 ambazo wanawake wanawalaumu waume zao kutokuwatosheleza kimwili,hii ni dalili tosha kuwa kuna namba kubwa ya wanawake ambao wanauhitaji mkubwa sana wa hili jambo kuliko wanavyodai hawa watafiti

Hebu fikiria kama mimi tu ambae nimeweza kupitia maeneo machache sana ya Dunia hii nimeshuhudia kesi zaidi ya 20 je kuna ngapi ambazo sijaziona?

Kimsingi kama wanandoa au wapenzi wanahitaji jambo hili liwe na burudani kwa wote inatakiwa wawe karibu na kuwa wawazi na kujadiliana kwa upendo namna ya kutoshelezana na sio kusimangana

Niliwahi kuwa na mahusiano na binti mmoja ambae baada ya huyo sijaingia tena kwenye mahusiano kwasababu zangu binafsi

Binti huyo alikuwa na vituko sana,kwanza mimi uwezo wangu wa kufanya ngono ni mkubwa na sina shaka na hilo,lakini pia ninaweza kukaa muda mrefu sana bila kufanya ngono kama nikitaka,hivyo ninaweza kufanya mara nyingi nitakavyo lakini pia ninaweza kujikontroo nitakavyo

Sasa huyo binti sijui tu alikuwaje,siku ya kwanza nilipiga goli 4,hakusema baada ya siku 5 tukakutana tena nikapiga 6 hakusema,nikaamua kukaa kimya bila kumwambia kuwa namhitaji cha ajabu baada ya kupita wiki akaja nyumbani na kuanza kulalamika kuwa nimemuumiza kiuno na akadai kuwa anaumwa

Nikaenda kumtafutia dawa kisha nikamuuliza ni kwanini anadhani mimi ndio nimemuumiza,akasema kuwa ni kutokana na mimi kufanya nae nngono mara nyingi kwa usiku mmoja,nikamuuliza kwani yeye anaweza kuhimili mara ngapi ili nisiwe namuumiza tena,hakujibu na siku hiyo hiyo akahitaji kulalala,sikukataa na niliamua kutomgusa kwakuwa najua anaumwa

Kulipokucha akaanza kulalamika kwanini sikuhitaji au nina mwanamke mwingine,nilicheka kisha nikamuuliza wewe si unaumwa?Akasema sasa kuumwa ndio kutokuhitaji?Ki ukweli nilimshangaa,nikapiga viwili vya fasta akaondoka

Usiku wake akarudi tena na nikapiga kama viwili kisha nikalala ili kuondoa kesi na kumuumiza zaidi "kiuno",lakini usiku alikuwa msumbufu sana akitaka tena na tena

Asubuhi yake akanilalamimikia eti napenda sana ngono,nadhani hata wewe unaweza kushangaa

Kwakifupi ninachotaka kusema hapa ni kuwa wanawake wengi mara nyingi kama sio zote huwa hawamaanishi kile wanachokuwa wanasema ndio maana hawa watafiti wanakuja na matokeo yasiyokubaliana na hali halisi!
 
^^
Kwa wastani mara ngapi ever?
^^

kusema mara ngapi ni ngumu kwani wakati mwingine mnakuwa mnaleta mashambulizi ya kushitukiza na kiukweli sometime mnakuwa hakudhamiria ila ndo ivo tena filimbi ya mgambo imelia unashindwa kuituliza, mfano usiku mnaweza mkawa mmepiga mechi moja nzuri tena kila mtu akafurahi,asubuhi mmeamka mnajiandaa kuwahi kazini mara umemuona mamaa anavaa yuko naked pale kny dressing table mtoto wa watu akijipaka mafuta yake ghafla kitu hicho kimevimba unajikuta unashindwa kujizuia na unaomba fast jet, km nilivyosema kusoma alama za nyakati ni muhimu na mjitahid muwe na self control.
 
^^
Hii mpya kwangu, kwa hiyo Dina, ktk mahusiano ya ndoa, wanaume watumie kuhitajiwa au kutohitajiwa kimwili kama kipimo cha kupendwa au kutopendwa?
Cc: Chujio annito Fixed Point
^^

Hahahhahhhaha hapana bana mkipendana ni kuunganisha mambo mengi sio ngono tu bana
 
Last edited by a moderator:
Mkuu nina mengi sana ya kusema hapa wacha nijaribu kwa kadri ya uwezo wangu

Kuna kitu kinaitwa ukweli,ukweli maana yake ni kile kinachosemwa kukubaliana na hali halisi
Mfano unaposema kuna mtu kajinyea basi huyo mtu aonekane kwenye hali halisi kuwa kajinyea

Kwenye masuala haya ya kukutana kimwili naweza kusema napingana na hawa wanaojiita watafiti na nasema kuwa hawasemi ukweli,nina sababu mbili za kusema hayo

Moja:sababu za kidini
Kwa wale tunaoamini kuwa binadamu kaumbwa na Mungu ni kwamba haiwezekani Mungu amuumbe binadamu mmoja awe na uhitaji mdogo na mwingine awe na uhitaji mkubwa kwenye suala lilelile na tena ambalo linahitajika lifanywe na wote wawili
Huko ni kujikinza

Mbili:Sababu za kimazingira
Kwenye maisha niliyokulia nimeshuhudia zaidi ya kesi 20 ambazo wanawake wanawalaumu waume zao kutokuwatosheleza kimwili,hii ni dalili tosha kuwa kuna namba kubwa ya wanawake ambao wanauhitaji mkubwa sana wa hili jambo kuliko wanavyodai hawa watafiti

Hebu fikiria kama mimi tu ambae nimeweza kupitia maeneo machache sana ya Dunia hii nimeshuhudia kesi zaidi ya 20 je kuna ngapi ambazo sijaziona?

Kimsingi kama wanandoa au wapenzi wanahitaji jambo hili liwe na burudani kwa wote inatakiwa wawe karibu na kuwa wawazi na kujadiliana kwa upendo namna ya kutoshelezana na sio kusimangana

Niliwahi kuwa na mahusiano na binti mmoja ambae baada ya huyo sijaingia tena kwenye mahusiano kwasababu zangu binafsi

Binti huyo alikuwa na vituko sana,kwanza mimi uwezo wangu wa kufanya ngono ni mkubwa na sina shaka na hilo,lakini pia ninaweza kukaa muda mrefu sana bila kufanya ngono kama nikitaka,hivyo ninaweza kufanya mara nyingi nitakavyo lakini pia ninaweza kujikontroo nitakavyo

Sasa huyo binti sijui tu alikuwaje,siku ya kwanza nilipiga goli 4,hakusema baada ya siku 5 tukakutana tena nikapiga 6 hakusema,nikaamua kukaa kimya bila kumwambia kuwa namhitaji cha ajabu baada ya kupita wiki akaja nyumbani na kuanza kulalamika kuwa nimemuumiza kiuno na akadai kuwa anaumwa

Nikaenda kumtafutia dawa kisha nikamuuliza ni kwanini anadhani mimi ndio nimemuumiza,akasema kuwa ni kutokana na mimi kufanya nae nngono mara nyingi kwa usiku mmoja,nikamuuliza kwani yeye anaweza kuhimili mara ngapi ili nisiwe namuumiza tena,hakujibu na siku hiyo hiyo akahitaji kulalala,sikukataa na niliamua kutomgusa kwakuwa najua anaumwa

Kulipokucha akaanza kulalamika kwanini sikuhitaji au nina mwanamke mwingine,nilicheka kisha nikamuuliza wewe si unaumwa?Akasema sasa kuumwa ndio kutokuhitaji?Ki ukweli nilimshangaa,nikapiga viwili vya fasta akaondoka

Usiku wake akarudi tena na nikapiga kama viwili kisha nikalala ili kuondoa kesi na kumuumiza zaidi "kiuno",lakini usiku alikuwa msumbufu sana akitaka tena na tena

Asubuhi yake akanilalamimikia eti napenda sana ngono,nadhani hata wewe unaweza kushangaa

Kwakifupi ninachotaka kusema hapa ni kuwa wanawake wengi mara nyingi kama sio zote huwa hawamaanishi kile wanachokuwa wanasema ndio maana hawa watafiti wanakuja na matokeo yasiyokubaliana na hali halisi!

Mwanamke ni kinyonga kny swala la mapenzi,inahitaji sana umakini na muda kumsoma mpka umuelewe anataka nn na kipi ni best kwake.
 
Siyo siri wanawake sometime tunafunika kombe mwanaharamu apite no way coz kukunyima inakuwa si nzuri, ila vizur wanaume wajifunze kusoma alama za nyakati kujua ni wakati gani mzuri mkewe anakuwa tayar.

uoga wa wanawake pia tatizo unakuta mtu anamheshimu mme wake kiasi hata anashindwa kumwambia kwamba ana hamu nae anaona kama ataidhalilisha au wengine wanaona sio adabu/heshima so kitu kama hii inawafanya wanaume saa nyingine kuhisi wrong kwamba mke wangu/mwenza wangu anahitaji anashindwa kuniambia kwa aibu .n.k
 
Mkuu nina mengi sana ya kusema hapa wacha nijaribu kwa kadri ya uwezo wangu

Kuna kitu kinaitwa ukweli,ukweli maana yake ni kile kinachosemwa kukubaliana na hali halisi
Mfano unaposema kuna mtu kajinyea basi huyo mtu aonekane kwenye hali halisi kuwa kajinyea

Kwenye masuala haya ya kukutana kimwili naweza kusema napingana na hawa wanaojiita watafiti na nasema kuwa hawasemi ukweli,nina sababu mbili za kusema hayo

Moja:sababu za kidini
Kwa wale tunaoamini kuwa binadamu kaumbwa na Mungu ni kwamba haiwezekani Mungu amuumbe binadamu mmoja awe na uhitaji mdogo na mwingine awe na uhitaji mkubwa kwenye suala lilelile na tena ambalo linahitajika lifanywe na wote wawili
Huko ni kujikinza

Mbili:Sababu za kimazingira
Kwenye maisha niliyokulia nimeshuhudia zaidi ya kesi 20 ambazo wanawake wanawalaumu waume zao kutokuwatosheleza kimwili,hii ni dalili tosha kuwa kuna namba kubwa ya wanawake ambao wanauhitaji mkubwa sana wa hili jambo kuliko wanavyodai hawa watafiti

Hebu fikiria kama mimi tu ambae nimeweza kupitia maeneo machache sana ya Dunia hii nimeshuhudia kesi zaidi ya 20 je kuna ngapi ambazo sijaziona?

Kimsingi kama wanandoa au wapenzi wanahitaji jambo hili liwe na burudani kwa wote inatakiwa wawe karibu na kuwa wawazi na kujadiliana kwa upendo namna ya kutoshelezana na sio kusimangana

Niliwahi kuwa na mahusiano na binti mmoja ambae baada ya huyo sijaingia tena kwenye mahusiano kwasababu zangu binafsi

Binti huyo alikuwa na vituko sana,kwanza mimi uwezo wangu wa kufanya ngono ni mkubwa na sina shaka na hilo,lakini pia ninaweza kukaa muda mrefu sana bila kufanya ngono kama nikitaka,hivyo ninaweza kufanya mara nyingi nitakavyo lakini pia ninaweza kujikontroo nitakavyo

Sasa huyo binti sijui tu alikuwaje,siku ya kwanza nilipiga goli 4,hakusema baada ya siku 5 tukakutana tena nikapiga 6 hakusema,nikaamua kukaa kimya bila kumwambia kuwa namhitaji cha ajabu baada ya kupita wiki akaja nyumbani na kuanza kulalamika kuwa nimemuumiza kiuno na akadai kuwa anaumwa

Nikaenda kumtafutia dawa kisha nikamuuliza ni kwanini anadhani mimi ndio nimemuumiza,akasema kuwa ni kutokana na mimi kufanya nae nngono mara nyingi kwa usiku mmoja,nikamuuliza kwani yeye anaweza kuhimili mara ngapi ili nisiwe namuumiza tena,hakujibu na siku hiyo hiyo akahitaji kulalala,sikukataa na niliamua kutomgusa kwakuwa najua anaumwa

Kulipokucha akaanza kulalamika kwanini sikuhitaji au nina mwanamke mwingine,nilicheka kisha nikamuuliza wewe si unaumwa?Akasema sasa kuumwa ndio kutokuhitaji?Ki ukweli nilimshangaa,nikapiga viwili vya fasta akaondoka

Usiku wake akarudi tena na nikapiga kama viwili kisha nikalala ili kuondoa kesi na kumuumiza zaidi "kiuno",lakini usiku alikuwa msumbufu sana akitaka tena na tena

Asubuhi yake akanilalamimikia eti napenda sana ngono,nadhani hata wewe unaweza kushangaa

Kwakifupi ninachotaka kusema hapa ni kuwa wanawake wengi mara nyingi kama sio zote huwa hawamaanishi kile wanachokuwa wanasema ndio maana hawa watafiti wanakuja na matokeo yasiyokubaliana na hali halisi!

^^
Da! Huyo binti nahisi atakuwa na undugu na X wangu ambae sababu mojawapo ya ni malalamiko yasiyoisha kuwa nimemgeuza mlinzi wa kila usiku.
Back to topic,
Wanawake ni viumbe wa ajab sana, ndio maana ukitaka kuwa manage basi usitabirike ktk hali hali zote.
^^
 
Back
Top Bottom