"Mwanaume hazeeki"

pole dada wamesha kut...mba...na utaendelea ku..ombwa na hao hao..kuwa mpole
 
Hii kauli uliyoambiwa it seem imekushitua sana ila pole.
 
Unawaza pesa na assets za wanaume tu, an u even have the guts to write in public about it.. ama kweli dunia ina elements nyingi
 
Pale unapozeeka ukiwa in yo 20's
Angejua stress anayopata mwanaume anaposhindwa kusuza rungu haifikii hata nusu ya hayo anayoyasema, asingefananisha kabisa uzee na vitu hivyo.
Imagine upo kama hao alowataja, lakini hawana "connection"😳😳😳
 

Nimecheka, kuna mbaba sijui nimuite mbabu alimpeleka mkewe ambae ni kama mjukuu wake ustawi wa jamii eti kisa hamhudumii.
Hamhudumii kiaje? Kipesa au yale mahitaji ya msingi ya mume?
 
Haha, hivi ni jinsi gani mtu anazeeka akiwa 20's aisee???
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…