"Mwanaume hazeeki"

Uvelia

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2018
Posts
640
Reaction score
1,192
Well huu ni msemo unaopenda sana kutumiwa na wanaume na baadhi ya wanawake.
So let's keep records clear, huu msemo unatumika kwa wanaume kama Mengi, Mo Dewji, Bakhresa and the like. Nyie wenzangu na mie don't even think about that, mnazeeka my friends tena mnazeeka vibaya sana.
Hivi huna hata assets za maana, hauna uwekezaji wowote wa maana ulionao wa kuacha legacy and you have the guts kusema "mwanaume hazeeki"! My friends thiiiiiiiink. Au huwa mnafikiri kuwa mwanaume ni kumwaga mbegu tu?
Hivyo sasa, ukitaka usizeeke anza sasa kutengeneza legacy(if you still have time and balls though) kwa wale ambao mshazeeka ikiwa bado mko 20's, 30's or 40's basi enjoy uzee while it still lasts.

Updates:
Naona wanaume mmepanik kweli, but nazielewa hizo hasira. Poleni sana, mjilaumu ninyi na waliowatangulia maana hawakuwaachia chochote cha kuwa proud nacho. Me and my young brother tunawashukuru wazazi wetu maana hata ipite 100 years legacy walioiacha na kuijenga itakuwepo.

Sasa badala ya kushinda na kulala jf mkirushiana vijembe na wanawake na kujisifia kwenye hamna go work, build yo kingdom. Work for you and your generation. Lasivyo uzee unakutafuta mmebakia kujisifia uume tu ambao pia hauna faida kama unaendelea kutujazia wategemezi duniani.
 
Na hapo hapo sina konekisheni ndo nazid kizeeka zaid
 
Jitu limestaafu linazaa na kabinti kisa tuhela twa mafao after 10 years linakufa mtoto na mama wakabaki wametoa macho
 
Uzee kwa maana ipi? Let's be realistic... Achana na assets.... Tunazeeka... Tena tunazeeka sana tu halafu inauma sana kuzeeka asikwambie mtu... Una mahela una kila kitu ila huna nguvu ya kupiga kipara
inauma sana
 
Uzee kwa maana ipi? Let's be realistic... Achana na assets.... Tunazeeka... Tena tunazeeka sana tu halafu inauma sana kuzeeka asikwambie mtu... Una mahela una kila kitu ila huna nguvu ya kupiga kipara
inauma sana
Angejua stress anayopata mwanaume anaposhindwa kusuza rungu haifikii hata nusu ya hayo anayoyasema, asingefananisha kabisa uzee na vitu hivyo.
Imagine upo kama hao alowataja, lakini hawana "connection"😳😳😳
 
Bila shaka atapita hapa ausome ujumbe wake...teh
 
Angejua stress anayopata mwanaume anaposhindwa kusuza rungu haifikii hata nusu ya hayo anayoyasema, asingefananisha kabisa uzee na vitu hivyo.
Imagine upo kama hao alowataja, lakini hawana "connection"😳😳😳
hawana koneksheni....
no connection... Hakuna mawasiliano
too bad.... Naogopa uzee
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…