Mwanaume Halii

Sijasoma uzi wako ila mimi nasema MWANAUME HSLII HADHARANI (isipokuwa anapoumizwa ama kujeruhiwa mwilini)
 
Kuna njemba waliibana mlangoni wakati wa kugombea kuingia mwendokasi, ikawa inalia "mamaaaa".

Hayajakukuta tu.
 
Ndivyo tulivyo, hata kwenye nyakati ngumu tunatabasamu...

Hata panapo heka heka tunatulia kimya...

Cc: Mahondaw
 
Wakuu mimi inapobidi ntalia kilio kabisa, kitu ambacho siwezi kufanya ni kulalamika hicho tu ndio siwezi, ila kulia, aah! ikibidi ntalia tu wakuu. Kama naweza kucheka kwanini nisiweze kulia?.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…