Mwanaume hahitaji mwanamke wa hivi

Mwanaume hahitaji mwanamke wa hivi

Jipeni moyo hivo hivo, oa mtu ana sura ya anko wake na shape kama mche wa sabuni hajulikani mbele wapi nyuma wapi.... Kutoka nae huwezi, kila mtu anatoka na mkewe wewe mkeo UNAMFICHA KAMA PAYING SLIP, mwanamke sura na shape babu tabia tutarekebishana

Hahaha. Una point mpendwa. My old folks, bros and I tumeiongelea hii mara kadhaa. M'dingi alisema chagua mwanamke ambaye hata wanao wakifanana nae, hakuna noma. Atakayepeleka funny looking mjukuu/niece/nephew home, shauri yake.
 
Hahaha. Una point mpendwa. My old folks, bros and I tumeiongelea hii mara kadhaa. M'dingi alisema chagua mwanamke ambaye hata wanao wakifanana nae, hakuna noma. Atakayepeleka funny looking mjukuu/niece/nephew home, shauri yake.
Ha ha ha mpendwa watu wengine ni wanafiki mnoo, kujifanya ooh mwanamke akili, mwanamke lele lele anaoa mwenye akili anaenda kumuweka ndani kama makochi
Ukimkuta bar na marafiki anakuja na katoto kazuri sura ya mdoli..... Eti mpendwa huu si ni usengre au?
 
Ha ha ha mpendwa watu wengine ni wanafiki mnoo, kujifanya ooh mwanamke akili, mwanamke lele lele anaoa mwenye akili anaenda kumuweka ndani kama makochi
Ukimkuta bar na marafiki anakuja na katoto kazuri sura ya mdoli..... Eti mpendwa huu si ni usengre au?

Haha ni mtazamo wao, wasituongelee wanaume wote.

Hii mambo ya inner beauty, iko kwenye vitabu tu. Far as I'm concerned.
 
Hii game haihitaji hasira, jipeni moyo tu...
We unataka mwanamke wa kukushauri kujenga tu, we hujui kama unahitaji nyumba nyooo kaishi kwenye kichuguu.....
This is not a game, it is reality. It is your kind of thinking that life is a game that make you people live in illusions.
 
Ha ha ha mpendwa watu wengine ni wanafiki mnoo, kujifanya ooh mwanamke akili, mwanamke lele lele anaoa mwenye akili anaenda kumuweka ndani kama makochi
Ukimkuta bar na marafiki anakuja na katoto kazuri sura ya mdoli..... Eti mpendwa huu si ni usengre au?
Ninachokupendea humung'unyi maneno. Unatoka live kama Magufuli vile. I wish one day nikuone live. Mwanaume wa nguvu akiwa na ww hana wasiwasi anajua utajibu nn likitokea la kutokea. Hata asipokuwepo yuko asured kuwa msaidizi yupo.
 
This is not a game, it is reality. It is your kind of thinking that life is a game that make you people live in illusions.
Vyovyote utakavyowaza, mie enzi hizo nahitaji mtu wa kua nae maisha I needed a good man wa kusaidiana nae sio wakunishauri nifanye hivi, wa kunishauri nifanye vile bali tushauriane.....
Endeleeni kutafuta wa kuwashauri mjenge mtalala mtaroni haki ya mama
 
Vyovyote utakavyowaza, mie enzi hizo nahitaji mtu wa kua nae maisha I needed a good man wa kusaidiana nae sio wakunishauri nifanye hivi, wa kunishauri nifanye vile bali tushauriane.....
Endeleeni kutafuta wa kuwashauri mjenge mtalala mtaroni haki ya mama
Good for you.
 
Ha ha ha kila shughuli, kila mtoko mwanaume yupo peke ake utasema kisingo boy shida ya nini sasa jamaniii utamficha hadi pumzi ikate ha ha ha

Kumficha sio tabu sana kama kumvumilia. Waking up next to a Samuel L. Jackson looking like wife, even for a single day, is a NO-NO. Haijalishi ana utu kiasi gani.
 
wanawake wenye sura za kawaida na wezelee la kawaida ndio wanao ongoza kuolewaa

Hapa mtaani kwetuuu ukisikia matarumbetaaa[emoji448] [emoji449] na honiii[emoji322] [emoji322]
za magarii ...yaanii pipiiiipiii holaaa pipiiiipiiiiipiiiii hola watu lazima waulize kuna mtu anaoa au anaolewaaa..wakisikiaa anaolewaaa mbiombio kwenda kucheki sura na shape ya bibi harusii utakuta bibi harusi wa kawaida kweliiii ...hako ndo kautafitii tunako kafanyaga hapa mtaanii

Kama unabisha utafiti anzia kwenu
Angalia sura na shape ya mama yako
Hamia kwa majirani angalia sura na shape za wake zao

afu hamishia utafiti kwa nyumba za kupanga ..lazima utakuta wamama wazuri rangi ya chocolatee umbo namba nanee nyuma kajazia sio sana ila kapanukia maeneo ya nyonga kama watoto wa kinyankoleee lakini kapangishiwa chumba na mwanaume aliyeoa mke wa kawaida na anamtumia kama nyumba ndogo

Hamia kwa wake wa waheshimiwa kama ma first lady wetuuu hapo ndo utakosa cha kujibu

wanawake wakali wanaolewa na mabishoo kama kina chibu na wengineo
Kwa sababu wao ni wazee wa mauzo ila varangatii wanariona kila siku wanavyosumbuliwa

KWAKO EVERINE SALT so kila jambo lazima ubishe mwingine ni ukweli mtupuuu ..hope umenielewaa

IMETOLEWA NA MKUU WA MAJESHI
MAKAPUKU FORUM
ndg DEKITAMBI
 
wanawake wenye sura za kawaida na wezelee la kawaida ndio wanao ongoza kuolewaa

Hapa mtaani kwetuuu ukisikia matarumbetaaa[emoji448] [emoji449] na honiii[emoji322] [emoji322]
za magarii ...yaanii pipiiiipiii holaaa pipiiiipiiiiipiiiii hola watu lazima waulize kuna mtu anaoa au anaolewaaa..wakisikiaa anaolewaaa mbiombio kwenda kucheki sura na shape ya bibi harusii utakuta bibi harusi wa kawaida kweliiii ...hako ndo kautafitii tunako kafanyaga hapa mtaanii

Kama unabisha utafiti anzia kwenu
Angalia sura na shape ya mama yako
Hamia kwa majirani angalia sura na shape za wake zao

afu hamishia utafiti kwa nyumba za kupanga ..lazima utakuta wamama wazuri rangi ya chocolatee umbo namba nanee nyuma kajazia sio sana ila kapanukia maeneo ya nyonga kama watoto wa kinyankoleee lakini kapangishiwa chumba na mwanaume aliyeoa mke wa kawaida na anamtumia kama nyumba ndogo

Hamia kwa wake wa waheshimiwa kama ma first lady wetuuu hapo ndo utakosa cha kujibu

wanawake wakali wanaolewa na mabishoo kama kina chibu na wengineo
Kwa sababu wao ni wazee wa mauzo ila varangatii wanariona kila siku wanavyosumbuliwa

KWAKO EVERINE SALT so kila jambo lazima ubishe mwingine ni ukweli mtupuuu ..hope umenielewaa

IMETOLEWA NA MKUU WA MAJESHI
MAKAPUKU FORUM
ndg DEKITAMBI
Mkuu leo umeniacha hoi sana
Big up.
 
sisi MAKAPUKU ni new version WAKONGWE wanaitaji ku UPDATIWA ili wawee wa kisasa kisasa waendane na mtizamo yakinifu wa kizazi cha .COM
Tatizo hawa ndugu zetu wamekariri mambo.
Hawajui kama wanaume siku hizi wamebadilika.
Mimi kwanfano mwanamke hata kama awe na shepu nzuri kama midoli akiwa na tabia za ajabuajabu NAPIGA CHINI!- kwani bei gani??

Kumbuka maisha ya ndoa hayahusiani kabisa na shepu wala makalio ya mwanamke,chukulia mfani unamuoa mwanamke mwenye SURA NZURI NA MAKALIO MAKUBWA lakini ana TABIA CHAFU it means that maisha yako yote ya ndoa yatakuwa ya SHIDA MWANZO MWISHO sasa hayo makalio makubwa uliyochagua yatakusaidia wapi??
 
Jipeni moyo hivo hivo, oa mtu ana sura ya anko wake na shape kama mche wa sabuni hajulikani mbele wapi nyuma wapi.... Kutoka nae huwezi, kila mtu anatoka na mkewe wewe mkeo UNAMFICHA KAMA PAYING SLIP, mwanamke sura na shape babu tabia tutarekebishana


Kutoka my foot! Kama ndani ni jehanamu on daily basis mtatoka kwenda wapi kwa mfano? Labda mtatoka kwenda mazishini ama msalani!

Most beautiful girls,especially in towns and big cities are a bundle of trash! You only enjoy them one week tops! The rest of 'till death-do-us-apart' inakua miiba na michongoma!

They lack basic life skills required in a wife to stay a wife and be a good mother -the backbone of the family

They are big headed and inconsiderate and they only perform when things are going merry!

At the first sign of trouble,financially, they are easy to take refuge under external references - easily screwing around and hardly have time for perseverance!

Lastly, pretty girls - msijisifu sana, ku*ma zenyewe za kuringia hamna. Demu on the outside yupo kama kashushwa, go with them faragha ushangae,full disappointments! (I am speaking out of experience as I ate a handsome number of nice looking chicks during my time).

The so 'not so beautiful' girls knows this fact and are on a constant quest to better themselves,to prove themselves,to prove to the world - family,husband,society that they are blessed 'in other areas' except beauty and they do a pretty damn good work out of it and the society is better off as a result!

Give me an example of a beautiful wife's happy & blissful marriage and I will give you fifty examples of 'not-so-beautiful' wives living their heaven right here on earth!

Don't bury your head in the sand and get ahead of yourselves pretty girls!!
 
Back
Top Bottom