Mwanaume + Goti + Pete + Mchumba=Upendo?

Mwanaume + Goti + Pete + Mchumba=Upendo?

Akili Pesa

JF-Expert Member
Joined
Jun 18, 2014
Posts
617
Reaction score
854
Wakuu habari?

Nimeona nipate majibu kutoka hapa maana nimeulizwa hili kwa mda mrefu nakosa jibu sahihi.
Naomba niuulize maswali niliyowahi kuulizwa.\

1.Kwanin kupiga goti kwa mwanaume wakati akimvalisha pete mchumba ake inahusishwa na upendo?
2.Kama inahusiana na Upendo kwanini wanaume wengi hawapigi goti siku ya kuvalisha pete sku ya ndoa?
3.Tunakubaliana kuwa Wanaume wana upendo zaid kuliko wanawake maan sisi tunawavalisha pete tukiwa tumepiga goti lakin wao wamesimama?
4.Huu utamaduni umeanzia wapi? Na kwanini jamii uliukubali??
5. Nini MTAZAMO WAKOna TAFSIRI YAKO?

NAWEKA PICHA HIZI ZA MWANAUME ALIYEPIGA GOTI AKIMVISHA PETE MCHUMBA AKE na MWANAUME ALIYESIMAMA AKIMVISHA PETE MCHUMBA AKE..

Nawasilisha.
IMG_20190331_124619.jpeg
IMG_20190331_124716.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimpigie got mwanamke labda niwe nimerogwaaa yaan ukifanya hivyo ujue ndo basi tena tunakutoa kwenye list wa wanaume au uwe mwanaume wa dar ni uzwazwa uliopotiliza huooo
 
Ni Ujinga wa kuiga mambo yasiyotuhusu.

Siku za nyuma wanawake ndiyo waliokuwa wanapiga magoti na kulia kabisa katika kuvalishana pete za uchumba na ndoa.
Ila sasa 50/50 imetunasa hadi wanaume.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
unaelewa kuwa msichana huwa anachumbia isipokuwa wanaona aibu kuweka wazi anaogopa asichekwe kuwa sio tamaduni
ha ha ha Sawa kabisa na hiyo pete hata ikiwa ya buku 3 atakaa anaiangalia wiki nzima usiku na mchana anaigeuza geuza haamini kama ni p;ete aunini sijui, we ulijuaje
 
Wanaume wa Kinondoni ndo wanapiga goti....sisi wa kanda maalum, mwanamke ndo anapiga goti.
 
Back
Top Bottom