Mwanaume + Goti + Pete + Mchumba=Upendo?

Mwanaume + Goti + Pete + Mchumba=Upendo?

usiwasikilize wanawake wanachosema ..angalia wanachofanya..maana huwa hawaamanishi wanachokisema...ukimpigia magoti atakuona pang'ang'a la karne...na hapo ndipo atakuandalia mazingira uoshe vyombo
vyombo kwangu sawa

kama anaumwa ntamsaidia

ila sio awe mzima
 
Umekula Maharage ya wapi haya, wewe mleta mada!

Nipige magoti yamenikosea nini? piga mijizi ya mke siyo magoti.
 
usiwasikilize wanawake wanachosema ..angalia wanachofanya..maana huwa hawaamanishi wanachokisema...ukimpigia magoti atakuona pang'ang'a la karne...na hapo ndipo atakuandalia mazingira uoshe vyombo
Tu vyombo tu tena vya watu wawili, si unaosha tu baasi! acha kuwa legelege.mtoto wa mama. unataka nani aoshe!
 
Tatizo mnaishi na wanawake mizigo wasio na future yoyote maishani.
Kumpigia goti mwanamke hasa ikiwa unaomba akusamehe mahali alipokwazika haikuondolei uanaume wako bali pia inakufanya uwe mwanaume unayejali.
Mwanamke alitolewa mbavuni siyo ili anyanyasike bali alindwe na ajisikie ana mwanaume ambaye kweli katoka ubavuni kwake.
Wanaume tunaowapigiaga wanawake magoti ndiyo tulio na mapenzi ya dhati na tuna mapenzi ya faida kiuchumi siyo ya kitoto.
Tatizo mnataka kupigiwa magoti na wanawake wakati pesa hamna kitandani kazi hamuiwezi upendo kwenu ni ziro.Tambueni kuwa mwanamke humheshimu mwanaume yule aliyetimia kona nyingi yaani mtoaji,mlinzi wa kweli kwa mke,anayemfurahisha kitandani,anajali ndg wote na anajua thamani ya familia.
Wanawake wanaojielewa tunawajua na tunawalinda na kuwaheshimu kama faru wa Magufuli.
Sure
 
Kutokana na watu wengi kuchanganyikiwa ni nani hasa anafaa kubonyea kidogo ili pete iingie kidoleni, watu wengi wamejikuta wakipata msito na mwishowe kuishia kuamua tu kwamba aidha nitabonya au yeye(mwanamke) atabonyea.

Ila mimi kwa mtazamo wangu, naona kwa patrilineal, mwanamme ndio huwa anafaa kubonyea kwa sababu yeye ndio anaenda kuomba kuoa. Naomba fulani unikubalie ili uje kuwa mke wangu. Ndio pale husema ``Yes'' nimekubali. Lakini kwa matrilineal, mwanamke ndio anatakiwa abonyee, ikiwa na maana kwamba yeye ndiye muoaji, na inawezekana na mahari kajilipia yeye mwenyewe...hahaha!!! (Wahindi, sijui wameacha kuifanya hii.?)

Je, wewe tupe experience yako, ulipiga goti siku ya kuvisha/kuvishwa pete ya uchumba?? Na je ulitumia kigezo gani na kwa nini?

Je, ipi ni njia sahihi wadau?

Asee, kuna jamaa tunabishana hapa na jumamosi anataka akamvishe pete mtu, na anasema hataki kupiga goti kisa anaona aibu kupiga goti kwa yule bidada.

Je, dhana ya kupiga goti moja ni udhaifu au ni kuonyesha heshima tu kuwa umedhamiria kwa moyo mmoja kufanya kile unachokiomba?

Hili pia mnalichukuliaje wakuu, au hamna ulazima wa kupiga goti moja chini?
 
Wakuu habari?

Nimeona nipate majibu kutoka hapa maana nimeulizwa hili kwa mda mrefu nakosa jibu sahihi.
Naomba niuulize maswali niliyowahi kuulizwa.\

1.Kwanin kupiga goti kwa mwanaume wakati akimvalisha pete mchumba ake inahusishwa na upendo?
2.Kama inahusiana na Upendo kwanini wanaume wengi hawapigi goti siku ya kuvalisha pete sku ya ndoa?
3.Tunakubaliana kuwa Wanaume wana upendo zaid kuliko wanawake maan sisi tunawavalisha pete tukiwa tumepiga goti lakin wao wamesimama?
4.Huu utamaduni umeanzia wapi? Na kwanini jamii uliukubali??
5. Nini MTAZAMO WAKOna TAFSIRI YAKO?

NAWEKA PICHA HIZI ZA MWANAUME ALIYEPIGA GOTI AKIMVISHA PETE MCHUMBA AKE na MWANAUME ALIYESIMAMA AKIMVISHA PETE MCHUMBA AKE..

Nawasilisha.View attachment 1058903View attachment 1058905

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona hawa kwenye picha ni watu wale wale?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom