Mwanaume fahamu haya

Mwanaume fahamu haya

Wanaume wengi wamekuwa na maswali juu ya sisi wanawake kuwa huwa tunataka nini kwenye mahusiano na huku kila kitu tunapata

Ukifanya haya hutasikia tunalalamika

Moja,mjali mwanamke..hata kama una kipato kidogo mjali,mnunulie vizawadi vidogo vidogo na mpe fedha ya matumizi kulingana na uwezo wako,,kama unaingiza elfu 30 kwa wiki nawe ukawa unampa elfu 5 sio mbaya

Mbili,Kuwa mwaminifu,epuka kucheat au kumfanyia hadharani,jitahidi sana asijue kuwa una mwanamke mwingine

Tatu,mburudishe,mpe raha ambayo hajawahi kupata popote pale muwapo faragha,hakikisha anafurahia kila wakati maeneo hayo maana ndicho kiunganishi chenu cha mahusiano

Ukifanya haya hutasikia tunalalamika,na kama tumegombana kiasi gani siwezi nikakuacha,na ukiniacha nitachanganyikiwa
Wiki siku 7
Kipato 30000
Kwa siku 5000
Kwa staili hii ukitaka umridhishe labda uwe mwizi
 
Wanaume wengi wamekuwa na maswali juu ya sisi wanawake kuwa huwa tunataka nini kwenye mahusiano na huku kila kitu tunapata

Ukifanya haya hutasikia tunalalamika

Moja,mjali mwanamke..hata kama una kipato kidogo mjali,mnunulie vizawadi vidogo vidogo na mpe fedha ya matumizi kulingana na uwezo wako,,kama unaingiza elfu 30 kwa wiki nawe ukawa unampa elfu 5 sio mbaya

Mbili,Kuwa mwaminifu,epuka kucheat au kumfanyia hadharani,jitahidi sana asijue kuwa una mwanamke mwingine

Tatu,mburudishe,mpe raha ambayo hajawahi kupata popote pale muwapo faragha,hakikisha anafurahia kila wakati maeneo hayo maana ndicho kiunganishi chenu cha mahusiano

Ukifanya haya hutasikia tunalalamika,na kama tumegombana kiasi gani siwezi nikakuacha,na ukiniacha nitachanganyikiwa
Hy raha raha gan.?.watu mnafuga ma dido ya nch 24...
 
Wanaume wengi wamekuwa na maswali juu ya sisi wanawake kuwa huwa tunataka nini kwenye mahusiano na huku kila kitu tunapata

Ukifanya haya hutasikia tunalalamika

Moja,mjali mwanamke..hata kama una kipato kidogo mjali,mnunulie vizawadi vidogo vidogo na mpe fedha ya matumizi kulingana na uwezo wako,,kama unaingiza elfu 30 kwa wiki nawe ukawa unampa elfu 5 sio mbaya

Mbili,Kuwa mwaminifu,epuka kucheat au kumfanyia hadharani,jitahidi sana asijue kuwa una mwanamke mwingine

Tatu,mburudishe,mpe raha ambayo hajawahi kupata popote pale muwapo faragha,hakikisha anafurahia kila wakati maeneo hayo maana ndicho kiunganishi chenu cha mahusiano

Ukifanya haya hutasikia tunalalamika,na kama tumegombana kiasi gani siwezi nikakuacha,na ukiniacha nitachanganyikiwa
Ye mwanamke ana nini cha ku-offer?
 
Cute love mimi nina maswali sana huenda ukanijibu. Naomba tutafuteni pm. Ni serious huenda ukaokoa hii ndoa yangu. Siyo utani very serious...
 
For the number of relationships i have been in, nimegundua its the little things that matter, ambavyo wanaume mara nyingi huwa tuna vi-overlook au dismiss.

weee hujagundua bwana...ungekuwa umegundua usingekuwa na number of relationships.
cha msingi hapa ni pesa na mgegedo basi and those are not little things
 
For the number of relationships i have been in, nimegundua its the little things that matter, ambavyo wanaume mara nyingi huwa tuna vi-overlook au dismiss.

weee hujagundua bwana...ungekuwa umegundua usingekuwa na number of relationships.
cha msingi hapa ni pesa na mgegedo basi and those are not little things
 
For the number of relationships i have been in, nimegundua its the little things that matter, ambavyo wanaume mara nyingi huwa tuna vi-overlook au dismiss.

weee hujagundua bwana...ungekuwa umegundua usingekuwa na number of relationships.
cha msingi hapa ni pesa na mgegedo basi and those are not little things
 
Wanaume wengi wamekuwa na maswali juu ya sisi wanawake kuwa huwa tunataka nini kwenye mahusiano na huku kila kitu tunapata

Ukifanya haya hutasikia tunalalamika

Moja,mjali mwanamke..hata kama una kipato kidogo mjali,mnunulie vizawadi vidogo vidogo na mpe fedha ya matumizi kulingana na uwezo wako,,kama unaingiza elfu 30 kwa wiki nawe ukawa unampa elfu 5 sio mbaya

Mbili,Kuwa mwaminifu,epuka kucheat au kumfanyia hadharani,jitahidi sana asijue kuwa una mwanamke mwingine

Tatu,mburudishe,mpe raha ambayo hajawahi kupata popote pale muwapo faragha,hakikisha anafurahia kila wakati maeneo hayo maana ndicho kiunganishi chenu cha mahusiano

Ukifanya haya hutasikia tunalalamika,na kama tumegombana kiasi gani siwezi nikakuacha,na ukiniacha nitachanganyikiwa


Na yeye (Mwanamke) atanifanyia nini kama nikimfanyia yote hayo?
 
Back
Top Bottom