hivi ni kweli mtaniDuuh! Haya mwaya ngoja waje.
hii ndio pointi ya msingiSawa cute love nilichojifunza hapa ni kwamba umeniruhusu kucheat lakini usijue.
PapuchiUmpe pes, umpe chakula, umjali, umpe mapenzi aridhike, umlinde na kumjengea nyumba. Too much, what do i get in return
Hapo ushamuibukia pmWewe ndio uliepo hapo kwenye avatar?
Pesa ndio mpango mzimaWape mwaya ila uhakikishe hiyo namba moja wanaielewa japo kidogo.
Nimekumis Cc. Mzigua90 nahisi nilipigwa BAN maana ni miezi kadhaa nilikuwa nashindwa hata kuLogin.Papuchi
Hahaaaa. Mtani kila mmoja ana lwake ujue.hivi ni kweli mtani
Hahahaaaa. Sawa Mkuu.Pesa ndio mpango mzima
Hizo zingine mbwembwe tu.
Jitu unalifanyia hayo yote na bado linakuletea nyodo halipendi jamaa zako na ukikosea kidogo tu ghubu lake hilo sio la nchi hiiWanaume wengi wamekuwa na maswali juu ya sisi wanawake kuwa huwa tunataka nini kwenye mahusiano na huku kila kitu tunapata
Ukifanya haya hutasikia tunalalamika
Moja,mjali mwanamke..hata kama una kipato kidogo mjali,mnunulie vizawadi vidogo vidogo na mpe fedha ya matumizi kulingana na uwezo wako,,kama unaingiza elfu 30 kwa wiki nawe ukawa unampa elfu 5 sio mbaya
Mbili,Kuwa mwaminifu,epuka kucheat au kumfanyia hadharani,jitahidi sana asijue kuwa una mwanamke mwingine
Tatu,mburudishe,mpe raha ambayo hajawahi kupata popote pale muwapo faragha,hakikisha anafurahia kila wakati maeneo hayo maana ndicho kiunganishi chenu cha mahusiano
Ukifanya haya hutasikia tunalalamika,na kama tumegombana kiasi gani siwezi nikakuacha,na ukiniacha nitachanganyikiwa
Ni kweli lazima utachamganyikiwa aisee!!Wanaume wengi wamekuwa na maswali juu ya sisi wanawake kuwa huwa tunataka nini kwenye mahusiano na huku kila kitu tunapata
Ukifanya haya hutasikia tunalalamika
Moja,mjali mwanamke..hata kama una kipato kidogo mjali,mnunulie vizawadi vidogo vidogo na mpe fedha ya matumizi kulingana na uwezo wako,,kama unaingiza elfu 30 kwa wiki nawe ukawa unampa elfu 5 sio mbaya
Mbili,Kuwa mwaminifu,epuka kucheat au kumfanyia hadharani,jitahidi sana asijue kuwa una mwanamke mwingine
Tatu,mburudishe,mpe raha ambayo hajawahi kupata popote pale muwapo faragha,hakikisha anafurahia kila wakati maeneo hayo maana ndicho kiunganishi chenu cha mahusiano
Ukifanya haya hutasikia tunalalamika,na kama tumegombana kiasi gani siwezi nikakuacha,na ukiniacha nitachanganyikiwa