Shemtibuko
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 728
- 1,014
Hilo limbwata sio bure.
Una mikwara ha haha.Siku ya mpira namruhusu na matokeo nayataka! Nashukuru Mungu kilevi hatumii ndo maana namruhusu kujichanganya Na sitaki kudanganywa (coz nafuatilia )
Akichelewa poa but with concrete reason,
In short 24/7 simchoki mme wangu!
Achelewe!!!? wapi? ? ? Kwanza hizo simu zitakavyopigwa Atarud mwenyewe!
Ratiba yangu ya kazin anaijua yake naijua! Tunachart, mipango naijua, unachelewea wapi kwa mfano?
Nitafutien huyo dada nina shida naye
Acha umbea.Nani kakwambia ni msomiNdo tatizo la kuoa wasomi ila hawajui majukumu yao!
Hahahahaaa! Sio mikwara!Una mikwara ha haha.
Wewe mchaga?Hahahahaaa! Sio mikwara!
Mwenyewe anaipenda huyo!
Huwezi amini siku nikiamua nimuache yeye ndo wa kwanza utasikia simu lundo za uko wapi na unafanya nini?
Utasikia mbona leo kimya sana!
Ndo utajua kumbe mikwala yangu anaipenda eeeeh!
Hapana sio mchagaWewe mchaga?
Sijakubaliana vitu viwili
1) Mke kumpangia jamaa mda wa kurudi nyumbani na jamaa akafuata
2) Ila pia kuwahi nyumbani sio tabia ya wanaume wa kibantu... just thinking lazima upate mda wa kuongea na ma men wenzako baada ya kazi maana humo ndo mawazo ya maendeleo na ushauri vinapotokea sio kila siku wewe saa 12 jioni upo nyumbani hata mke atakuzoea
Swali: Kwani mwisho wa sisi wanaume kurudi home ni mida gani?Na tumshauri afanyeje?