Mwanaume asiyejielewa

Mwanaume asiyejielewa

Joined
Mar 25, 2021
Posts
94
Reaction score
228
Habari za jioni,

Naomba ushauri wa jinsi ya kumchukulia mwanaume mwenye tabia hizi katika mahusiano.

1. Hayuko tayari kukuoa
2. Hayuko tayari kukutambulisha popote
3. Hayuko tayari kukusaidia kwa lolote
4. Anataka umpe hela ya chakula
5. Anataka umpe vipodozi kama mafuta perfume
6. Anataka atumie gari yako
7. Anataka umtoe outing
8. Anataka aishi nyumbani kwako
9. Anataka umpe chakula
10. Anataka atumie kila kitu chako

Yote hayo ni kwa kisingizio cha siku mambo yake yakikaa sawa atakuoa.

Si bora akakae kwao ajipange mambo yake yakiwa sawa ndio arudi kwa bi dada?

Au nyie mna maoni gani?

Najaribu kumsaidia mtu hapa.
 
Habari za jioni,
Naomba ushauri wa jinsi ya kumchukulia mwanaume mwenye tabia hizi katika mahusiano.
1. Hayuko tayari kukuoa
2. Hayuko tayari kukutambulisha popote
3. Hayuko tayari kukusaidia kwa lolote
4. Anataka umpe hela ya chakula
5. Anataka umpe vipodozi kama mafuta perfume
6. Anataka atumie gari yako
7. Anataka umtoe outing
8. Anataka aishi nyumbani kwako
9. Anataka umpe chakula
10. Anataka atumie kila kitu chako


Yote hayo ni kwa kisingizio cha siku mambo yake yakikaa sawa atakuoa.

Si bora akakae kwao ajipange mambo yake yakiwa sawa ndio arudi kwa bi dada???

Au nyie mna maoni gani?

Najaribu kumsaidia mtu hapa.
Tuma picha yako kwanza tukuone muonekano wako kama bonge umekwishaaa ni wa kutoa assist kama chama tu......
 
Habari za jioni,
Naomba ushauri wa jinsi ya kumchukulia mwanaume mwenye tabia hizi katika mahusiano.
1. Hayuko tayari kukuoa
2. Hayuko tayari kukutambulisha popote
3. Hayuko tayari kukusaidia kwa lolote
4. Anataka umpe hela ya chakula
5. Anataka umpe vipodozi kama mafuta perfume
6. Anataka atumie gari yako
7. Anataka umtoe outing
8. Anataka aishi nyumbani kwako
9. Anataka umpe chakula
10. Anataka atumie kila kitu chako


Yote hayo ni kwa kisingizio cha siku mambo yake yakikaa sawa atakuoa.

Si bora akakae kwao ajipange mambo yake yakiwa sawa ndio arudi kwa bi dada???

Au nyie mna maoni gani?

Najaribu kumsaidia mtu hapa.
Hapo kosa sio la mwanaume. Huyo mwanamke anayefanya hayo yote ndio anazingua.

Alaf mbona namba 1 inakinzana na hapo nilipo bold?
 
Ni zaidi ya masimango mkuu
Anazingua sn mtoa mada,
Masimango yote sijaona alipanda kwann jamaa hayuko sawa kiuchumi

Inaonekana suala la kwann mpenz wake kayumba halimhusu, anachojali Ni mambo yaende no matter what.

Wanawake km mtoa mada ukiwaendekeza, uchelewi kua kibaka au jambazi ,ukamatwe upigwe mawe ufe kwa sababu ya mapenz
 
Huyu mwanaume wa rafiki yako unapenda kumfatilia vipi unamtaka?
 
Back
Top Bottom