Namba tatu hakuna jibu sahihi lipi lililo sahihi ilijualo wewe !!!
Pili vipi waziwa ya simbilisi ulisha acha???
namba 6
akipika inanipa raha na nanifanya nimuheshimu zaidi
labda ye anapika ivi mi nafanya usafi chumbani nikimaliza naandaa chakula mezani then kula then seblen kidg kishuke kdg then aooooooooooooooo chumban mbaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!1
inaleta hamasa na inanifanya nimpende zaidi
Njoo kwangu nikupikie ugali 24/7
namba 6
akipika inanipa raha na nanifanya nimuheshimu zaidi
labda ye anapika ivi mi nafanya usafi chumbani nikimaliza naandaa chakula mezani then kula then seblen kidg kishuke kdg then aooooooooooooooo chumban mbaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!1
inaleta hamasa na inanifanya nimpende zaidi
ahh asi ndo mana nikaamua nitastaafu nawewe na mafao yangu tutakula wote!!!!!
Sasa mnacho taka ni tuonyeshe ushirikiano au kweli tuingie jikoni kwa kumaananisha??. Hata hivyo naamini ni ile kampani ndiyo inayo matter zaidi. basi kama ni hivyo kila siku nitakata kitungu changu, kesho nyanya, mtondogo, nasogeza mwiko si inatosha my headgirl??
Hapo ndio ninapokupendea na tutakaa mbali na mjini ili uache mchezo wako wa kuondoka na bajaji saa 7 usiku.