Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,163
Hivi mlipita unyagoni kweli nyie?
Au ndo unyago wa Magomeni?
Au chicken hizi chicken party?
Mwanamme anapimwa kwa ujuzi wa kitanda na na pesa.
Na ukiona mwanamme hakupi apetite hadi utizame sura, jua anajifunza kuwa mwanammme bado hajakamilika.
Au ndo unyago wa Magomeni?
Au chicken hizi chicken party?
Mwanamme anapimwa kwa ujuzi wa kitanda na na pesa.
Na ukiona mwanamme hakupi apetite hadi utizame sura, jua anajifunza kuwa mwanammme bado hajakamilika.
ila sura ikiwa ngumu sana, unaanza kutafuta nyepesi ya kusuuzia lol, bora nini mvua au jua