Mwanaume anahitaji mwanamke malaika wakiwa sebuleni na mwanamke mtundu wakiwa chumban

mmmmhh easy done ..
hapo hakuna neno kabisa..
mbona mambo ya kawaida tu hayo..
but remember unachotaka ufanyiwe wewe na we umfanyie mwenzio au vipi???/
 
ingekuwa poa ungejali kupata raha kwa both sides! Wanaume mna jipya gani kwa wapenzi wenu? Au mnafikiri si hatuchoki, kuingiza na kutoa! Otherwise imesimama hii!
 
Wanaume bwana, hata ukiwabebe mgongoni wanateleza, hata sijui tuwafanyie nini?? Enzi za utumwa zimepita kumbika, ukitaka raha toa raha pia uaminifu una matter sana! siwezi kufanya vimbwangaaa nikijua fika una gawa hovyooo! roho inazimia jamani!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
waache kupiga piga kelele ooh sijui wanaume nini oooh mara lile
imebidi niwape ka ukweli kidogo
ngoja waje wasome:a s-alert1:

asante kimbweka kwa darasa, ninalifanyia kazi ili kujihakikishia namba uwanjani everyday.
 
kimbweka sikia nikuambie unaweza ukawa maarufu sana wa maneno matamu lakini ukifika uwanjani huna unaloliweza golli moja chali mpaka unakumbushwa kuamka upo hapo?
 
We PM ndo wale wale!Kama nimetimiza wajibu wangu huo kwanini kuwe na tatizo kama nae atatimiza wake?Ubaya ni kwamba unajaribu kusema wanawake tu ndo wakuzingatia yaliyosemwa!Wakati kila kitu kinahitaji ushirikiano!



Tobaaaaa,yameshanigeukia mimi tena?
 
Lizzy
Ulianza hivi......
Kimbweka tukishafanya hayo yote tunapata nini?


Nikakujibu hivi..........
Hapo ndio shida inapoanzia,na kila siku mmejiwekea akilini kuwa ni mwanamke tu ndiye anayeandaliwa,na ukiendelea kuuliza hivi usijemlaumu baba watoto wako kwa kuchelewa kurudi nyumbani.

Ukasema hivi.........
UOTE=Lizzy;1371540]We PM ndo wale wale!Kama nimetimiza wajibu wangu huo kwanini kuwe na tatizo kama nae atatimiza wake?Ubaya ni kwamba unajaribu kusema wanawake tu ndo wakuzingatia yaliyosemwa!Wakati kila kitu kinahitaji ushirikiano![/QUOTE]

Sasa na mimi nimekuwaje walewale inamaana kukukumbusha wajibu wako ni kosa?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…