Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,694
- 58,762
Basi ntafuata yote!unafaidika kupendana kwa uaminifu
Mnakaa kwa raha zenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi ntafuata yote!unafaidika kupendana kwa uaminifu
Mnakaa kwa raha zenu
Kwa kipupi = KUTIMIZIANA
ingekuwa poa ungejali kupata raha kwa both sides! Wanaume mna jipya gani kwa wapenzi wenu? Au mnafikiri si hatuchoki, kuingiza na kutoa! Otherwise imesimama hii!Wanaume wanahitaji mwanamke mtundu, tendo la ndoa ambalo linaleta msisimko, linalofurahisha na kutia hamasa mpya kila siku.
Jaribu vitu vipya, mikao, miguso, busu, na michezo ya uwaja wa 6x6 au chochote umejifunza, acha woga kwamba atakuuliza nani kakufundisha, dunia ya leo tunaishi dunia ambayo wanaaiita information society, hivyo watu tunapashana habari na kufundishana kupitia magazeti, radio, TV, movie, internet nk.
Usiache kufanya kitu kipya huko chumbani eti kuogopa atakuuliza umejifunza wapi.
Kazi kubwa kwako ni kuhakikisha uwanja wa 6x6 unakuwa moto siku zote na pia kumpa vitu vya uhakika ili asitembeze macho nje kutokana na kuwa bored na mapishi ya aina hiyohiyo miaka nenda miaka rudi.
Ni kweli kama umri umekwenda sana hamwezi kufanya kama ile miaka ya nyuma lakini isiwe sababu ya kutokuwa na mambo yenye kuridhisha na mwanamke kuwa moto uwanjani.
Miili yetu ni hekalu la Mungu la ajabu na la aina yake hapa duniani.
Mwili ni laini, una harufu nzuri, ukiguswa unapata raha ya ajabu, hivyo kama mwanamke unahitaji kujiweka safi na hot muda wote bila kujali umri.
Kitu cha msingi ni kwamba mume wako anakuhitaji wewe, anahitaji ladha mpya na utamu kila siku kutoka kwako iwe ni kukugusa kwa mikono yake, au kukuangalia kwa macho yake au kukunusua mwili wako kwa pua yake au kukusikia unaongea maneno matamu kwa masikio yake na kukuonja mwili wako kwa ulimi wake.
Ni kweli anakuhitaji wewe na si mwingine na kwa kuwa anakuhitaji wewe basi
Mpe raha
Keep it hot,
steam it up
and you both will come back wanting more time and time again.
Mwisho
Kuna mambo ya msingi ambayo mwanaume anahitaji kwako na kuna kitu anataka kwako, kuna mambo mengi sana mwanaume anahitaji kwako kitu cha msingi timiza hizi ndoto kwa kuzifanyia kazi.
Kama utakuwa ni mtu unayekuwa mbunifu na mwenye kufanya mambo tofauti bila mazoea basi uhusiano wako na umpendaye utakuwa imara na mzuri kila iitwapo leo.
Mungu akubariki sana.
waache kupiga piga kelele ooh sijui wanaume nini oooh mara lile
imebidi niwape ka ukweli kidogo
ngoja waje wasome:a s-alert1:
haya bana :A S 8:
We PM ndo wale wale!Kama nimetimiza wajibu wangu huo kwanini kuwe na tatizo kama nae atatimiza wake?Ubaya ni kwamba unajaribu kusema wanawake tu ndo wakuzingatia yaliyosemwa!Wakati kila kitu kinahitaji ushirikiano!
Nimeshaanza!Huoni nnavyokutii?