Mwanaume akikuzalisha asikuoe amekuharibia maisha

Mwanaume akikuzalisha asikuoe amekuharibia maisha

Usedcountrynewpipo

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2012
Posts
3,636
Reaction score
2,731
Wadada kuweni makini na mahusiano,mwanaume akikuzalisha na asikuoe hupunguza sana nafasi yako ya kuolewa hasa na mwanaume wa ndoto zako.

Mila nyingi zinakataza vijana kuoa mwanamke ambaye amezaa na mwanaume mwingine.Kuweni makini na future zenu. Hisia za mioyo yenu zisiwapotoshe.
 
Waolewe kwanza ndio washike mimba! Kuna namna mbali mbali za kuepuka mimba zisizotarajiwa mojawapo ikiwa kutoshiriki tendo la ndoa kwenye siku za hatari...
 
Wadada kuweni makini na mahusiano. Mwanaume akikuzalisha na asikuoe hupunguza sana nafasi yako ya kuolewa hasa na mwanaume wa ndoto zako. Mila nyingi zinakataza vijana kuoa mwanamke ambaye amekwisha zalishwa. Kuweni makini na future zenu. Hisia za mioyo yenu zisiwapotoshe...

kuzalishwaje?

kwani wanaozalisha ni wanaume ama wakunga?
 
Aisee!!! MILA zinaruhusu aliyeabort hata mara 6 kuolewa, patamu hapo!!
 
Viherehere vyao na nyege zao vinawaponza! Wanaachia tu mbunye zao!
 
Kukimbia zinaa ni kuoa au kuolewa katika umri mdogo. Genye ina nguvuu. Hata mtu abane vipi, by 25yrs atakuwa amesha achia tuu. So we r discussing most practical solutions...
 
Kuna mmoja kaniganda amezalishwa watoto watatu anataka nimuoe, eti yupo tayari hata kuwa nyumba ndogo! Nyambaafu!
 
Akina dada mpunguze tamaa, na mjitume kusoma kwa bidii na kutafuta mali zilizo za kwenu.Mkifanya hivyo hizi mimba za ghafla zitawaepuka afu wakati mwingine huwa ni mimba na HIV vyote kwa mpigo.AKINA DADA KUWENI MAKINI TAMAA MBAYA.
 
Watu huwa hawapangi kuzaa nje ya ndoa
watu huwa hawapangi kuzalisha nje ya ndoa
watu huwa hawapangi kutoku oa waliowazalisha nje ya ndoa
watu huwa hawapangi kutoku olewa na walio zaa nao nje ya ndoa...

kinachotokea kinaitwa 'shit happens' .......
 
Back
Top Bottom