Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
- Thread starter
- #81
Kabisa mkuu.hili lina wahusu pia kina Mengi?
Kabisa mkuu.hili lina wahusu pia kina Mengi?
ha ha ha hoja kuntu, chakula cha ubongo.Hahahaha kweli kabisa aisee huwa naitumia Mara kwa Mara si kwamba nakuwa sina kitu la hasha huwa najaribu kujenga matumainj kwa NYONDA wangu kila siku halafu ghafla bin vuuu anapata kile alinichoniomba .
Mwanamke ni kiumbe Wa kuishi nae kwa akili
Huu Uzi umenijenga ngoja niuweke sticky
Hakika.Hafanyi kwa nia mbaya lakini madhara yake yanaweza kuwa mabaya sana.
Wakudadavuwa huwa ajishushia personalty kuandika uchafu wake wa sisa kumbe kuna mahala huwa panamfaa, hii statement yake ulyoi quote hapo juu ni very useful to men. Big up sana kwa thread hii"Wanawake wote wamejaliwa kipaji cha kutumia hela mpaka ziishe" na zikiishaisha anajitoa na lawama zote kukupa wewe mwanaume...... Hilo ni Neno kuntu
adHili ni fundisho kwa vijana wengi ambao wanataabika, suala la fedha limekuwa mwiba mkubwa na chanzo kikubwa cha mahusiano na ndoa kuyumba. Nimelazimika nije na ushauri huu ambao utawasaidia vijana wa kileo ambao wanataabika na ndoa hususani suala la fedha.
Kinachowaumiza vijana wengi katika fedha na wenza wao ni tabia ya wanaume kuwa wazi kwa kutoa taarifa za pato lake kamili. Jambo la uwazi ni jema lakini muwe na kiasi kwani usipokuwa na akiba ya 'taarifa za kipato chako' utakosa fusra ya kufanya miujiza pale mambo yanapokwama.
Fanya hivi. Mfano kipato chako ni shilingi milioni moja kwa mwezi, mweleze kwamba unapokea shilingi laki 7 na hizo tatu hakikisha unaweka katika sehemu salama ambayo hata ikitokea umekufa familia yako itafaidika, mfano benki kila unapochukua mshahara hakikisha unaacha laki tatu kama akiba asiyoijua. Sasa katika hii laki saba panga matumizi pamoja na akiba ya pamoja.
Wanawake wanapenda 'mshtuko/suprise'..so siku ya siku ukiona kanuna unamtoa shoping lazima ataona umetenda muujiza kwa nia njema. Hapa ndipo pale utasikia mwanamke anasema 'mme wangu ana akili kweli'. Ikitokea una marupurupu fulani kama safari nk hakikisha unatoa kiasi na ziada unaweka chimbo. Hii itakupa upenyo wa kuwasaidia hata wazazi wako na ndugu zako bila kumhusisha mara kwa mara kwani wanawake wengine hawapendi usaidie ndugu na jamaa. Fanya mbinu hii hata kama kipato chako ni laki tano weka hata elfu hamsini chimbo ili uweze kutenda baadhi ya miujiza.
Wanawake wote duniani wamejaliwa karama ya kutumia hela yote ya mmewe, yaani ukimwambia kuna hela hii yeye ataandika orodha ya mahitaji ya familia ni kwani njema ila pesa zikiisha yeye hujitoa na kukulaumu kwanini ulitumia pesa zote. Yaani dharura ikitokea yeye hayupo ni lako hilo na ukishindwa kutatua hapo ndipo dharau inaanza...utasikia 'mme wangu hana msaada kabisa' yaani hajali kabisa matatizo anatumia pesa zote bila uangalifu.
Haya yote yanahitaji ustadi mkubwa na utimamu, kumbuka siku zote mwanaume anatakiwa kuwa mtu wa mshitukizo/surprise kwa kutumia kipato kile kile alichonacho. Yaani tunasema uwe na uwezo wa kutengeneza hela (money creator). Ikitokea dharura unamuangalia usoni huku ukitabasamu, unamwambia 'mke wangu usihuzunike ngoja nifanye mpango nitatue hii shida'.
Hii ndio mbinu tuliitumia sisi na kuweza kuishi na mama/bibi zenu bila bugdha.
Nawakilisha.
Matusi ya nini...halafu 'signature' yako unanukuu Biblia?Fu*king lies!!!!
Ni kweli.Mkuu sure password ni muhimu kidogo.