Mwanasoka gani wa bongo unahisi alistahili au anastahili kucheza Ulaya?

Acha mzaha...yule Lufunga itakuwa anagawana mshahara na Haji Manara.....jitu halina ball control kiasi kile....hakuna mchezaji kutoka Tanzania anaweza kucheza Ulaya moja kwa moja kutokea VPL ...mpira wetu wanacheza kwa speed ndogo sana....mwaka wa 37 bila ya AFCON ...wacheze AFCON ndio watakuwa na kiwango cha Ulaya....Farid sio la liga
Haha.. Mkuu ndo mana nikasema wanatakiwa watapakae katika ligi mbalimbali ndani ya ulimwengu huu.. huyo Lufunga tungempeleka katika ligi ya somalia au sudani kusini.
 
Edibily Lunyamila kutocheza ulaya ni moja ya ukatili wa kihistoria katika soka la Tanzania.
 
Alikuwa zaidi ya Mogela Mkuu, mwache Lunya bwana.
Lunya wanamjua Waganda tu,
Hapa kwetu hata Kasongo Athumani alikua akimtosha tu huyu Lunya,
Kile Kimguu chake kimoja cha kushoto ukikidhibiti basi Lunya kapuni,
Nakumbuka alikua akisoma Shinyanga nadhani, Yanga walikua wakimfuata mpaka shuleni kumsubiri.
 
Lunya wanamjua Waganda tu,
Hapa kwetu hata Kasongo Athumani alikua akimtosha tu huyu Lunya,
Kile Kimguu chake kimoja cha kushoto ukikidhibiti basi Lunya kapuni,
Nakumbuka alikua akisoma Shinyanga nadhani, Yanga walikua wakimfuata mpaka shuleni kumsubiri.
Lakini Hata yule Mliberia George Weah pamoja na kuogopwa huko
Ulaya hapa Bongo alidhibitiwa vema tu!
 
Edibil Jonas Lunyamila,Boniface Pawasa,said Mwamba Kizota,Shehan Rashid,mohamed Hussein Mmachinga,Salvatory Edward
wasasa
-Narid Haroub
-Kelvin Yondani
-Mrisho Ngassa
-Singano
-Manula
-Kigi Makasi
-Mwinyi Kazimoto
 
Lunya wanamjua Waganda tu,
Hapa kwetu hata Kasongo Athumani alikua akimtosha tu huyu Lunya,
Kile Kimguu chake kimoja cha kushoto ukikidhibiti basi Lunya kapuni,
Nakumbuka alikua akisoma Shinyanga nadhani, Yanga walikua wakimfuata mpaka shuleni kumsubiri.
alafu ile kona ya kichuya yeye alikuwa habahatishi ndio alikuwa hodari wa kumtungua mwameja
 
wachezaji wote wa simba kikosi cha 2003 kuanzia
JUma K
Said Sued
Ramadhan R
Pawasa
victa costa
matola
SMG
Shekhan
Nteze
Kaniki
Ema Gabry
wote hawa walistahili kuwa Ulaya
 
Acha mzaha...yule Lufunga itakuwa anagawana mshahara na Haji Manara.....jitu halina ball control kiasi kile....hakuna mchezaji kutoka Tanzania anaweza kucheza Ulaya moja kwa moja kutokea VPL ...mpira wetu wanacheza kwa speed ndogo sana....mwaka wa 37 bila ya AFCON ...wacheze AFCON ndio watakuwa na kiwango cha Ulaya....Farid sio la liga
Lufunga nini kinachoendelea kumuweka simba? Jitu zembe kama lile, kwanza ni zitoo na miguu yake mirefu kama mitete
 
Hassan kessy
0ada36e36d4fbf7f6d1ff292372f620b.jpg
 
Mo ibrahim, Hajibu, kichuya, Mzamilu yasini, msuva,victor costa ila huyu Tshabalala anacheza kama macelo pale Real madrid
 
Back
Top Bottom