sembo
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 4,350
- 3,451
Haha.. Mkuu ndo mana nikasema wanatakiwa watapakae katika ligi mbalimbali ndani ya ulimwengu huu.. huyo Lufunga tungempeleka katika ligi ya somalia au sudani kusini.Acha mzaha...yule Lufunga itakuwa anagawana mshahara na Haji Manara.....jitu halina ball control kiasi kile....hakuna mchezaji kutoka Tanzania anaweza kucheza Ulaya moja kwa moja kutokea VPL ...mpira wetu wanacheza kwa speed ndogo sana....mwaka wa 37 bila ya AFCON ...wacheze AFCON ndio watakuwa na kiwango cha Ulaya....Farid sio la liga