OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,189
- 103,708
Kwa sasa Ajib na Msuva wanastahili kutoka nje
Kama yule alie kuwa unguja aliitwa Victor John bambo (vjb )Frank Bambo alistahili la liga
Saimon Msu... Na Mohamed Hu.......Wakuu hii kitu nimetafakari sana, binafsi naona kuna wanasoka wa Bongo
ambao kila nikitazama soka lao naona kabisa wangeweza au wanaweza
kucheza soka la Ulaya, mfano Mchezaji kama SHADRACK MSAJIGWA kwa
kiwango chake angeweza tu kucheza Everton, Southampton n.k
Je nani unafikiri amekosa au alikosa tu bahati lakini kiwango cha kucheza
timu za Ligi kuu za Ulaya alikuwa nacho au anacho?
Zaidi hata ya Zamoyoni Mogella??Lunyamila ndie mchezaji Bora kupata kutokea hapa Tanganyika
Jina lilifika kabla ya kifaa hakijafika bongonyosoSunday wa Manara Computer
Jina lilifika kabla ya kifaa hakijafika bongonyoso
Ina maana ndio lilikuwa kipaji chake kikubwa ni ganja kisha kandanda?Alipata nafasi akaitumia kuvutia bangi
Huyu jamaa si nasikia alicheza La liga miaka ya nyuma kidogo. Kama sikosei ni Sevila ile.Sunday wa Manara Computer
Acha mzaha...yule Lufunga itakuwa anagawana mshahara na Haji Manara.....jitu halina ball control kiasi kile....hakuna mchezaji kutoka Tanzania anaweza kucheza Ulaya moja kwa moja kutokea VPL ...mpira wetu wanacheza kwa speed ndogo sana....mwaka wa 37 bila ya AFCON ...wacheze AFCON ndio watakuwa na kiwango cha Ulaya....Farid sio la ligaKwangu mimi kikosi chote cha Simba SC si cha nchi hii.. wanatakiwa hadi sasa wawe wametapakaa katika ligi mbalimbali ndani ya ulimwengu huu.