MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,707
- 71,003
Mwanahabari Huru OK tunashukuru kama amepona
ELla zamani lipi?
Duh! kamanda umenikumbusha CHADEMA yetu "original" kabla haijauzwa kwa CCM na mwenyekiti.Aliweka hadharani njama za kishamba za viongozi wa awamu ya 4 , wakiongozwa na Mwigulu za kudukua mawasiliano ya Mnyika ili wampe kesi ya uchochezi .
Alitaja wahusika wote akiwemo mtoto wa kiongozi na nchi vilikotoka vifaa hivyo vya kishamba aliitaja kuwa ni China .
Baada ya kufichuliwa kwa njama hizo mpango huo ukazimika
Chama hakifi ni dola inajitahidi kuua chadema lakini imeshindwaHuyu jamaa namkubali, kama chadema wangestick na huyu wangefika mbali lkn ndo hivyo tena wakapotea step wakachukuwa ma-snitch sasa lichama lao kinakufa!
Take your words the other way round ...Huyu jamaa namkubali, kama chadema wangestick na huyu wangefika mbali lkn ndo hivyo tena wakapotea step wakachukuwa ma-snitch sasa lichama lao kinakufa!
Acha ndoto. Upinzani bado hamjafika huko.Kila kukicha Sizonje hali mbaya sana ! Chadema wakikuambia nchi haitatawalika hawatanii .
Ni kweli kabisa MkuuHuyo jamaa ni mpinzani kweli kweli. Ni msomi mzuri. Hababaishwi wala hatishwi! Ana historia nzuri ya harakati za upinzania Tanzania na ni courageous sana
Kwa hiyo sasa hivi nchi haitawaliki?Kila kukicha Sizonje hali mbaya sana ! Chadema wakikuambia nchi haitatawalika hawatanii .
Naskia alifanya kaz sana kuwatandika risas wale walitaka kumpindua nyerere 1980sAfisa usalama mstaafu, Mabere Nyaucho Marando.
Have some reservation ndugu, natamani ingekua hivyo ndivyo alivyo kweli, usilolijua ni kama usiku wa kizaHuyo jamaa ni mpinzani kweli kweli. Ni msomi mzuri. Hababaishwi wala hatishwi! Ana historia nzuri ya harakati za upinzania Tanzania na ni courageous sana
Kinachofahamika openly ndiyo hicho. Kama kuna jingine linalofahamika nyuma ya pazia tuambiwe tupate kumjuaHave some reservation ndugu, natamani ingekua hivyo ndivyo alivyo kweli, usilolijua ni kama usiku wa kiza
Mambo mengi hayapo kama yanavyohamika openly, acha niishie hapoKinachofahamika openly ndiyo hicho. Kama kuna jingine linalofahamika nyuma ya pazia tuambiwe tupate kumjua
Sio wanahamia, wananunuliwa na fedha za walipa kodi na wengine wanatishwa hadi kuuliwa. Huo ndio ukweli.Nani yuko usingizini? Ama ni wewe uko ndotoni, madiwani wote wanahamia CCM? Upo Tanzania au wewe ni mukimbizi.
Hivi kwa akili yako ndogo unaona nchi inatawalika hii , kila siku vikao vya utekaji BOT Mwanza !Kwa hiyo sasa hivi nchi haitawaliki?