Shingofeni
Member
- Jan 9, 2013
- 43
- 18
Wewe Msalani ni Kinyesi kama jina lako kweli
tundu lissu ni mgonjwa wangu wa akili by dk hamis kigwangala
Kwani bunge limeahirishwa kwa sababu ya Lissu? Acheni kujidanganya.
Sawa chooni si unadhani watz bado wana akili kama za mabest zako mende; ngoja Tundu awachemshe .
Nyie mnaoleta ushabiki wa kijinga kwenye masuala nyeti ya nchi kama katiba ndio mnaowapa kichwa hawa wehu akina tundu Lissu wafanye vitendo vya kihuni huko bungeni na kusababisha bunge kuahirishwa mara kwa mara. Pesa za walipa kodi zinapotea bure.
Siku akiacha kuropoka,jazba na kukurupuka anaweza kuaminika. Otherwise ni wale wale tu. Hana jipya.
Sawa chooni si unadhani watz bado wana akili kama za mabest zako mende; ngoja Tundu awachemshe .
Tundu lisu shikamoo..nina miaka 53. Lakini nimekuamkia
tundu lissu ni mgonjwa wangu wa akili by dk hamis kigwangala
Nyie mnaoleta ushabiki wa kijinga kwenye masuala nyeti ya nchi kama katiba ndio mnaowapa kichwa hawa wehu akina tundu Lissu wafanye vitendo vya kihuni huko bungeni na kusababisha bunge kuahirishwa mara kwa mara. Pesa za walipa kodi zinapotea bure.
Busara za sitta ndio zimepelekea yeye kuahirisha bunge, na sio porojo za Lissu.
tundu lissu ni mgonjwa wangu wa akili by dk hamis kigwangala
mgonjwa lakini mnamuhanya mpaka mnaweka mpira kwapani
acha zipotee tu kwani sio hapo tu zinapopotea,tena afadhari hapa zinapotea huku tunaziona kuliko kule kwenye EPA,IPTL,RICHMOND,MEREMETA.Mnajifanya kuzionea huruma hizi za katiba!mbona huko kwengine hamsemi