Mwanasheria Mkuu wa Serikali ni Mbunge, je sheria zinatungwa na Bunge au Serikali?

AG sio mbunge ni ex official kama Katibu wa Bunge.
Serikali au mbunge anaweza kupeleka muswada, Bunge ndilo linatunga sheria, rais anasaini ndio inakuwa sheria.
P
Mbona anakaa upande wa Wabunge

Mbona anapata stahiki za kibunge?

Niliwahi kumsikia Zitto Kabwe wakati fulani akisema AG ni Mbunge wa Dezo

So ni Mbunge au?!!

Nipo kujifunza zaidi
 
Mbona anakaa upande wa Wabunge

Mbona anapata stahiki za kibunge?

Niliwahi kumsikia Zitto Kabwe wakati fulani akisema AG ni Mbunge wa Dezo

So ni Mbunge au?!!

Nipo kujifunza zaidi
AG sio mbunge ila ni exofficial anaingia Bungeni kwa wadhifa wake. Kila ex officials wanao ingia popote wanalipwa stahiki za hapo mahali. Katibu Mkuu Kiongozi sio Waziri, anahudhuria cabinet kama ex official.

AG analipwa stahiki za AG ni zaidi ya mbunge!.
P
 
Ninachofahamu Mwanasheria Mkuu wa Serikali ni Mbunge wa Katiba.

Kadhalika miswada ya sheria huletwa bungeni na AG ambaye ni Mbunge.

Sasa nauliza, Ni Bunge linalotunga sheria?

Majawabu tafasali.

cc: Pascal Mayalla, BAK
ulishawahi kusikia popote pale serikali inakimbizana na machangudoa?? serikali ya ccm inapambana na machangudoa
 
AG sio mbunge ila ni exofficial anaingia Bungeni kwa wadhifa wake. Kila ex officials wanao ingia popote wanalipwa stahiki za hapo mahali. Katibu Mkuu Kiongozi sio Waziri, anahudhuria cabinet kama ex official.

AG analipwa stahiki za AG ni zaidi ya mbunge!.
P
AG anaapishwa na Spika au haapishwi?

Kama anaapishwa anakula Kiapo cha Ubunge au Kiapo gani?

Niko hapa kujifunza
 
AG anaapishwa na Spika au haapishwi?

Kama anaapishwa anakula Kiapo cha Ubunge au Kiapo gani?

Niko hapa kujifunza
AG ni mbunge kwa kuingia Bungeni na ndie mtu wa kwanza kabisa kuteuliwa Bunge jipya, sikumbuki kama anaapishwi na Spika kwasababu hawajibiki kwa Bunge, so does Katibu wa Bunge. AG yuko Bungeni kuiwakilisha serikali kusimamia legal compliance, hapigi kura wala hachangii mijadala ya Bungeni!.

P
 
AG ni mbunge kwa kuingia Bungeni na ndie mtu wa kwanza kabisa kuteuliwa Bunge jipya, sikumbuki kama anaapishwi na Spika kwasababu hawajibiki kwa Bunge, so does Katibu wa Bunge. AG yuko Bungeni kuiwakilisha serikali kusimamia legal compliance, hapigi kura wala hachangii mijadala ya Bungeni!.

P
Kutoa ufafanuzi kwenye Hoja mbalimbali siyo kuchangia Mjadala?

Niko hapa kujifunza
 
Tofautusha mswada na sheria.

1. Serikali Inatengeneza muswada (bill). Sio sheria. Baada ya kupitia idara, wizara mpaka baraza la mawaziri.

2. Bunge ndio Lina jadili muswada na kuupitisha kuwa sheria ( Act of Parliament)
 
Mihimili Mitatu Muhimu ya Nchi imejikusanya vizuri sana kwa pamoja ndani ya muhimili moja, kwa maslahi mapana ya waTanzania wote.

Ndio maana Rostam alisema mahakama zinatoa maamuzi baada ya kupigiwa simu. Endelea Kufurahia uovu.
 
Ninachofahamu Mwanasheria Mkuu wa Serikali ni Mbunge wa Katiba.

Kadhalika miswada ya sheria huletwa bungeni na AG ambaye ni Mbunge.

Sasa nauliza, Ni Bunge linalotunga sheria?

Majawabu tafasali.

cc: Pascal Mayalla, BAK
Hakuna hata siku moja Bunge limewahi kutunga Sheria. Bunge hasa la Tanzania kazi ya ni endorsement tuu. Baaas!

Ndiyo maana Serikali inaweza kusukuma mswada wa Sheria flani kwa manufaa ya Serikali enyewe au chama tawala, ikifika Bungeni, wabunge wakijifanya wajuaji na kuongeza madoido yao ambayo hayana maslahi kwa watawala, Rais anagoma ku-acsent. Rais asiposaini ndo basi tena inabaki kuwa rasimu jalalani.

In short, Bunge ni rubber stamp, watungaji ni wengine kabsaaaa. Hivi mtu kama Musukuma au kibajaji Kwa akili yako atatunga Sheria gani?
 
Tofautusha mswada na sheria.

1. Serikali Inatengeneza muswada (bill). Sio sheria. Baada ya kupitia idara, wizara mpaka baraza la mawaziri.

2. Bunge ndio Lina jadili muswada na kuupitisha kuwa sheria ( Act of Parliament)
Hilo liko Wazi

Mule bungeni AG akishaleta miswada au Waziri fulani akileta muswada yeye AG anashiriki kutunga sheria?

Kama anashiriki, ni kwa nafasi ya Serikali au Bunge?

Niko hapa kujifunza
 
Back
Top Bottom