Hosea ni mnafiki na muongo mwenye lengo la kujitafutia cheap popularity. Kwa mwanasheria wa kiwango chake, anapaswa kujua nini maana ya separation of powers and duties. Pia sio kweli kwamba sheria inamruhusu kuprosecute makosa madogo tu bila ya kibali cha dpp. Kwani wajibu huo ni kwa makosa yote. Naanza kuhic kuwa naye kaingia kwenye ukanda na kama sio udino.