Kajuni
JF-Expert Member
- May 27, 2009
- 486
- 186
Wana JF hongereni kwa kazi!!!!. Jamani naombeni maoni yenu kuhusu mwanamke anayecheza Karate anafaa kuolewa? Au inabidi aolewe na mcheza karate mwenzake? au kama mwanaume achezi nilazima kujifunza kwani inawezekana kunakutofautiana ndana ya nyumba alafu ukala kisago na sie wanaume atuna chama cha kututetea. Hiii imekaa vipi wana JF?