Abdul Mganyizi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2019
- 1,044
- 1,996
Ndugu zanguni habari za wakati huu,mwanangu wa miezi sita (6) anaumwa mafua mpaka huruma .Naomba anaejua dawa gani naweza nunua itakayomsaidia huyu mtoto.Nitashukuru kwa majibu matakayonipa
Mpeleke mtoto hospitali.Ndugu zanguni habari za wakati huu,mwanangu wa miezi sita (6) anaumwa mafua mpaka huruma .Naomba anaejua dawa gani naweza nunua itakayomsaidia huyu mtoto.Nitashukuru kwa majibu matakayonipa
Kuna uwezekano wa kumuelewesha mtu pasi kumtukana ndugu.Mzazi mshenzi wewe mpeleke mtoto hospital ikishindikana nenda hospital za rufaa
Sijafanya kosa ,sio vizuri kunipa matusi ukizingatia nipo kwenye swaumu ,mbona unaweza kunielewesha bila kunitukana ?Mzazi mshenzi wewe mpeleke mtoto hospital ikishindikana nenda hospital za rufaa
Mpeleke hospitali acha upuuzii.Sijafanya kosa ,sio vizuri kunipa matusi ukizingatia nipo kwenye swaumu ,mbona unaweza kunielewesha bila kunitukana ?